Habarini wakuu,
Hahaha...nimeanza kwa kucheka,kwasababu hivi vioja vinavyotengezwa sasa vinachekesha sana na ni vya kitoto sanaaa..Hebu fikiria:-
-Wanawaandaa vijana wao kisha wanawavalisha nguo za Chadema na kuwaambia waandamane kumtaka Slaa kurudi,kisha wanawalipa laki moja moja.
-Huko...
WATANZANIA TULIOITWA WAPUMBAVU NA MALOFA TUTAMPIGIA KURA LOWASSA NA SIO MAGUFULI KWASABABU:-
- Kwanza Tumeichoka CCM kwa ahadi zao za uongo
-Tumeichoka CCM kwa kuwalinda mafisadi ambao mpaka sasa wapo CCM na tunawafahamu
-Tumeichoka CCM kwa kuiba mali za umma kwa miaka zaidi ya 50...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.