Recent content by Awamuzote

  1. A

    JamiiForums Tanzania Mzazi anaona bora mtoto alipwe laki 3 akiwa ameajiriwa kuliko kupata million 1 ya kujitafutia

    Hii mentality sijui jamii zetu zitaiacha lini. Kuna bint kapata ajira mwaka jana upanxe wa maendeleo ya jamii mshahara wake take home ata laki 6 haifiki, basi bi mkubwa wake ni mwendo lawama tu kila akitaka pesa fulani huyo binti akamuambia sina ila ninayo hii. Bi mkubwa ana mentality kuwa huyu...
  2. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Daktari amempiga hadi kuzirai Muuguzi mwenzetu, hakuna hatua zilizochukuliwa. Waziri wa Afya, TAMISEMI tunaomba msaada

    Mwashambwa unavorukia kila jambo utasema wewe ndo PM Mwigulu
  3. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    Post ya mei 22, 2026. Inaonekana mtoa mada umeenda kimboka ivi karibuni. Lakini hii post ni chai chai ya rangi.. Kimboka miaka hii ni sawa na haipo, baada ya ujenzi mbalimbali na safishasafisha maeneo yale kimboka imebaki stori tu.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Makonda: Serikali imeanza Mchakato wa Uraia Kwa Clatous Chama

    Kaongea utani au alikua serious. Kwa sababu chama keshaicheza senior national team yao ivyo kwa taratibu za fifa hatoweza kuchezea nt nyingine. Sitaki kuamini waziri halijui hili.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto: Maadui wetu siyo Wakenya wala Watanzania, ni ajira na umasikini

    Wakati bi msumi akisema kenya na Tz tuungane kuwatia mikwaju gen Z... Hayo ndo aliyoyasema Rais wa Kenya. Wenye elimu mbalimbali hawawez kung'amua kitu hapo.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini kila mwili unaookotwa nchini huwa tunawahi kusema ni vifo vya sababu za Kisiasa?

    Tunahitaji ukombozi wa kifikra kwanza ndo mengine yafuate. Haiingii akilini mtu aliekutwa kafa si mwanasiasa, sio mwanaharakati wala hatujapata sikia popote anakimbizana na watawala alafu kifo chake kihusishwe na watawala big NO. Mfano huyu mwanafunzi wa ifm J Temba aliekutwa kakatwa kichwa, yet...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Ni ajabu sana kudhani kuna mbadala wa Samia ndani ya CCM

    Kwa nguvu tunayoiona Rais wa taifa hili analo kikatiba na kwa hali yeyote. Ni kweli anaweza shindwa badili mfumo uliopo akidhamiria ? Hao wanaooperate huo mfumo wana maguvu kiasi gani mpaka Rais awe mdogo mbele yao !??
  8. A

    JamiiForums Tanzania Kama Yale maandamano ya mapinduzi yangefanikiwa kufika jioni(Giza) nchi ingechafuka mpaka sasa kungekuwa na mapigano/vita ya wenyewe kwa wenyewe

    Kijana it looks like andiko lako hili unapita kwenye script ya ripoti ya jaji chande
  9. A

    JamiiForums Tanzania Majirani wananiona mkatili napowanyima lifti wanafunzi wao wa kike lakini acha tu nipewe lawama, hizi nyaraka za serikali ni too delicate

    Huu ujumbe mkubwa sana kwa mapokeo tofauti. Meseji yako imejikita zaidi kuelezea wanafunzi majirani jinsia ya kike, sijui una mtazamo gani kuhusu majirani wanafunzi jinsia y kiume. Kila nikiwaza misoto wanayopata wanafunzi kwenye angle ya usafiri hasa Hapa dsm napatwa na huruma. Pamoja na...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Usiseme hakuna aliejua kuwa Magu atakua rais. Yapo baadhi ya maandiko humu ya 2014 yalimtaja magu kuwa rais ajae. Nakumbuka andiko la Pascal Mayalla Liko la MAGAMBA MATATU pia
  11. A

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Unashangaa nini wakiwa kina bashite au tulia. bi msumi hajawazidi kitu chochote cha cha kiuongozi hao wawili
  12. A

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Januari kaanza lini kuwa mvaa rozali !?
  13. A

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Lindi maisha gharama sana

    Unachanganya mambo. Mji wa lindi ndo mdogo sana kama usemavo. Ila mkoa wa lindi kijiografia ni mkubwa muno
  14. A

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Nyanda aachiwa akiwa hai

    Habari njema
  15. A

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa Mwandishi wa Habari Aloyce Nyanda amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kufadhili kikundi cha 'Tanganyika Freedom Fighters'

    Tumefika pahala andika mengi lakini siku uandike wasiyoyapenda kajikundi fulani ka miungu watu basi utakua hatarini hasa
Back
Top Bottom