Recent content by Awamuzote

  1. A

    JamiiForums Tanzania Hivi na nyie wake zenu wanawapa unyumba kwa kunung'unika kama huyu wangu?

    Kaka ata kwenye mpira mchezaji akizingua anakula benchi anapewa nafasi mwingine. Acha kulialia muwekee mtu alafu unauchuna kama huna time nae tena. Hilo litaanza kumtesa kiakili na kisaikolojia kuliko unavojibembeleza kwake
  2. A

    JamiiForums Tanzania Wahaya mpewe maua yenu kwenye mizagamuano

    Chai hii, huwezi kumlomba demu kisawasawa usiku kucha halafu huyo mwanamke akakubali kukupotezea kirahisi tu. Labda kama uliopoa dada poa bila kujua
  3. A

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Biashara matangazo
  4. A

    JamiiForums Tanzania Jaribu kujiweka katika nafasi ya Samuya, ungefanyaje kutuliza upepo?

    Madaraka matamu. Bi msumu haelewi kitu
  5. A

    JamiiForums Tanzania Ni ushauri tu: Watoto wa kike acheni kunyonya 'mitura'?

    Mtoa mada tayari diara katoka golini
  6. A

    JamiiForums Tanzania Mzazi anaona bora mtoto alipwe laki 3 akiwa ameajiriwa kuliko kupata million 1 ya kujitafutia

    Hii mentality sijui jamii zetu zitaiacha lini. Kuna bint kapata ajira mwaka jana upanxe wa maendeleo ya jamii mshahara wake take home ata laki 6 haifiki, basi bi mkubwa wake ni mwendo lawama tu kila akitaka pesa fulani huyo binti akamuambia sina ila ninayo hii. Bi mkubwa ana mentality kuwa huyu...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    Post ya mei 22, 2026. Inaonekana mtoa mada umeenda kimboka ivi karibuni. Lakini hii post ni chai chai ya rangi.. Kimboka miaka hii ni sawa na haipo, baada ya ujenzi mbalimbali na safishasafisha maeneo yale kimboka imebaki stori tu.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Makonda: Serikali imeanza Mchakato wa Uraia Kwa Clatous Chama

    Kaongea utani au alikua serious. Kwa sababu chama keshaicheza senior national team yao ivyo kwa taratibu za fifa hatoweza kuchezea nt nyingine. Sitaki kuamini waziri halijui hili.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto: Maadui wetu siyo Wakenya wala Watanzania, ni ajira na umasikini

    Wakati bi msumi akisema kenya na Tz tuungane kuwatia mikwaju gen Z... Hayo ndo aliyoyasema Rais wa Kenya. Wenye elimu mbalimbali hawawez kung'amua kitu hapo.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini kila mwili unaookotwa nchini huwa tunawahi kusema ni vifo vya sababu za Kisiasa?

    Tunahitaji ukombozi wa kifikra kwanza ndo mengine yafuate. Haiingii akilini mtu aliekutwa kafa si mwanasiasa, sio mwanaharakati wala hatujapata sikia popote anakimbizana na watawala alafu kifo chake kihusishwe na watawala big NO. Mfano huyu mwanafunzi wa ifm J Temba aliekutwa kakatwa kichwa, yet...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Ni ajabu sana kudhani kuna mbadala wa Samia ndani ya CCM

    Kwa nguvu tunayoiona Rais wa taifa hili analo kikatiba na kwa hali yeyote. Ni kweli anaweza shindwa badili mfumo uliopo akidhamiria ? Hao wanaooperate huo mfumo wana maguvu kiasi gani mpaka Rais awe mdogo mbele yao !??
  12. A

    JamiiForums Tanzania Kama Yale maandamano ya mapinduzi yangefanikiwa kufika jioni(Giza) nchi ingechafuka mpaka sasa kungekuwa na mapigano/vita ya wenyewe kwa wenyewe

    Kijana it looks like andiko lako hili unapita kwenye script ya ripoti ya jaji chande
  13. A

    JamiiForums Tanzania Majirani wananiona mkatili napowanyima lifti wanafunzi wao wa kike lakini acha tu nipewe lawama, hizi nyaraka za serikali ni too delicate

    Huu ujumbe mkubwa sana kwa mapokeo tofauti. Meseji yako imejikita zaidi kuelezea wanafunzi majirani jinsia ya kike, sijui una mtazamo gani kuhusu majirani wanafunzi jinsia y kiume. Kila nikiwaza misoto wanayopata wanafunzi kwenye angle ya usafiri hasa Hapa dsm napatwa na huruma. Pamoja na...
Back
Top Bottom