Hii mentality sijui jamii zetu zitaiacha lini. Kuna bint kapata ajira mwaka jana upanxe wa maendeleo ya jamii mshahara wake take home ata laki 6 haifiki, basi bi mkubwa wake ni mwendo lawama tu kila akitaka pesa fulani huyo binti akamuambia sina ila ninayo hii. Bi mkubwa ana mentality kuwa huyu...
Post ya mei 22, 2026. Inaonekana mtoa mada umeenda kimboka ivi karibuni. Lakini hii post ni chai chai ya rangi.. Kimboka miaka hii ni sawa na haipo, baada ya ujenzi mbalimbali na safishasafisha maeneo yale kimboka imebaki stori tu.
Kaongea utani au alikua serious. Kwa sababu chama keshaicheza senior national team yao ivyo kwa taratibu za fifa hatoweza kuchezea nt nyingine. Sitaki kuamini waziri halijui hili.
Wakati bi msumi akisema kenya na Tz tuungane kuwatia mikwaju gen Z... Hayo ndo aliyoyasema Rais wa Kenya. Wenye elimu mbalimbali hawawez kung'amua kitu hapo.
Tunahitaji ukombozi wa kifikra kwanza ndo mengine yafuate. Haiingii akilini mtu aliekutwa kafa si mwanasiasa, sio mwanaharakati wala hatujapata sikia popote anakimbizana na watawala alafu kifo chake kihusishwe na watawala big NO. Mfano huyu mwanafunzi wa ifm J Temba aliekutwa kakatwa kichwa, yet...
Kwa nguvu tunayoiona Rais wa taifa hili analo kikatiba na kwa hali yeyote. Ni kweli anaweza shindwa badili mfumo uliopo akidhamiria ? Hao wanaooperate huo mfumo wana maguvu kiasi gani mpaka Rais awe mdogo mbele yao !??
Huu ujumbe mkubwa sana kwa mapokeo tofauti.
Meseji yako imejikita zaidi kuelezea wanafunzi majirani jinsia ya kike, sijui una mtazamo gani kuhusu majirani wanafunzi jinsia y kiume.
Kila nikiwaza misoto wanayopata wanafunzi kwenye angle ya usafiri hasa Hapa dsm napatwa na huruma.
Pamoja na...
Usiseme hakuna aliejua kuwa Magu atakua rais. Yapo baadhi ya maandiko humu ya 2014 yalimtaja magu kuwa rais ajae. Nakumbuka andiko la Pascal Mayalla Liko la MAGAMBA MATATU pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.