Recent content by Awamu ya sita

  1. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutanana Amina J. Mohammed Dodoma

    Na ikawe heri kwa maendeleo ya nchi yetu
  2. A

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani. Bwana alitoa, bwana ametwaa; jina lake lihimidiwe
  3. A

    JamiiForums Tanzania Hii ndoto naomba isiwe kweli, imeniogofya na kunifanya niamke na kuanza kuitafakari

    Siwezi nikasema ndiyo au hapana ila hata Mpango hakugombea na haikutokea. Mazingira ya Marekani ya Rais Nixon na Ford yalikuwa yanahusisha tuhuma za rushwa na kupelekea Rais Nixon kujiuzulu na Makamu Ford kushika hatamu.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Hii ndoto naomba isiwe kweli, imeniogofya na kunifanya niamke na kuanza kuitafakari

    Hapana mimi sio moingoni mwao, ila ilitokea na niliogopa sana na nikaamua kuandika. Sijawahi kumuotea kiongozi yeyote awe mkubwa ama mdogo ila ilitokea tu nadhani it was by coincidence
  5. A

    JamiiForums Tanzania Hii ndoto naomba isiwe kweli, imeniogofya na kunifanya niamke na kuanza kuitafakari

    Kiongozi, ndoto ile ilimhusu namba mbili ambaye nilionyeshwa kapata ajali ya ndege kuanguka. Siwezi zungumzia jambo ambalo sikuoteshwa.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Hii ndoto naomba isiwe kweli, imeniogofya na kunifanya niamke na kuanza kuitafakari

    Kama atakuwa huru kuendekea kufanya mambo yake inawezekana kabisa
  7. A

    JamiiForums Tanzania Hii ndoto naomba isiwe kweli, imeniogofya na kunifanya niamke na kuanza kuitafakari

    Ikitokea Mwenyezi Mungu ameruhusu tena, nitafanya hivyo mkuu
  8. A

    JamiiForums Tanzania Hii ndoto naomba isiwe kweli, imeniogofya na kunifanya niamke na kuanza kuitafakari

    Ungeiandika tu kwani JF privacy yake ni kubwa tofauti na kusema kwa mdomo kama Lema. Nilichojifunza ni kuwa ndoto yoyote siyo ya kuipuuza na ndio maana nilicyoiweka hapa nilimalizia kwa kusema tumwombe Mwenyezi Mungu aepushie mbali jambo hili lisitokee na
  9. A

    JamiiForums Tanzania Hii ndoto naomba isiwe kweli, imeniogofya na kunifanya niamke na kuanza kuitafakari

    Sikuwa najua chochote na sikuwahi kumuotea jambo lolote hapo kabla na ndio maana nililazimika kuandika siku ile ile nilivyoota
  10. A

    JamiiForums Tanzania Hii ndoto naomba isiwe kweli, imeniogofya na kunifanya niamke na kuanza kuitafakari

    Wakati naota mwanzo sikupewa kitu chochote sasa iweje leo nipewe chochote ili kuota?? "Washangiliaji walikuwa wanasema huwezi kushindana na aliye juu wakati wewe uko chini". Hili ni funzo kwetu
  11. A

    JamiiForums Tanzania Hii ndoto naomba isiwe kweli, imeniogofya na kunifanya niamke na kuanza kuitafakari

    Sipo kwenye mfumo na sijawahi kuwa huko na sitarajii kwani niko mbali sana kihadhi kuufikia mfumo
  12. A

    JamiiForums Tanzania Hii ndoto naomba isiwe kweli, imeniogofya na kunifanya niamke na kuanza kuitafakari

    Uko sahihi kabisa kiongozi
  13. A

    JamiiForums Tanzania Hii ndoto naomba isiwe kweli, imeniogofya na kunifanya niamke na kuanza kuitafakari

    Namshukuru Mungu na mimi kapuku niliyeko polini na nisiye na jina wala umaarufu wowote kuota ndoto ambayo hata haijachukua wiki mbili imetokea. "Niliona vijana wakikebehi kuwa huwezi kushindana na aliye juu wakati wewe uko chini"
  14. A

    JamiiForums Tanzania Hii ndoto naomba isiwe kweli, imeniogofya na kunifanya niamke na kuanza kuitafakari

    Ni kuhusu ndege iliyoanguka milima fulani na baadae kuonekana katika ndege hiyo alikuwemo mmoja wa viongozi wakubwa wawili nchini. Baada ya taarifa kuufikia umma ilionekana kuna vijana wanashangilia na kukebehi kuwa huwezi kushindana na wajuu wakati wewe uko chini. Ndipo nikashtuka Namwomba...
Back
Top Bottom