Siwezi nikasema ndiyo au hapana ila hata Mpango hakugombea na haikutokea. Mazingira ya Marekani ya Rais Nixon na Ford yalikuwa yanahusisha tuhuma za rushwa na kupelekea Rais Nixon kujiuzulu na Makamu Ford kushika hatamu.
Hapana mimi sio moingoni mwao, ila ilitokea na niliogopa sana na nikaamua kuandika. Sijawahi kumuotea kiongozi yeyote awe mkubwa ama mdogo ila ilitokea tu nadhani it was by coincidence
Ungeiandika tu kwani JF privacy yake ni kubwa tofauti na kusema kwa mdomo kama Lema. Nilichojifunza ni kuwa ndoto yoyote siyo ya kuipuuza na ndio maana nilicyoiweka hapa nilimalizia kwa kusema tumwombe Mwenyezi Mungu aepushie mbali jambo hili lisitokee na
Wakati naota mwanzo sikupewa kitu chochote sasa iweje leo nipewe chochote ili kuota?? "Washangiliaji walikuwa wanasema huwezi kushindana na aliye juu wakati wewe uko chini". Hili ni funzo kwetu
Namshukuru Mungu na mimi kapuku niliyeko polini na nisiye na jina wala umaarufu wowote kuota ndoto ambayo hata haijachukua wiki mbili imetokea.
"Niliona vijana wakikebehi kuwa huwezi kushindana na aliye juu wakati wewe uko chini"
Ni kuhusu ndege iliyoanguka milima fulani na baadae kuonekana katika ndege hiyo alikuwemo mmoja wa viongozi wakubwa wawili nchini.
Baada ya taarifa kuufikia umma ilionekana kuna vijana wanashangilia na kukebehi kuwa huwezi kushindana na wajuu wakati wewe uko chini. Ndipo nikashtuka
Namwomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.