Nunua dstv kwa Tsh 99000 na upate mwezi mmoja bure kifurushi cha compact bei hii ni bila ufundi yaan installation gharama ya ufundi ni Tsh 20000 tu
Wasiliana nasi 0652170490
Ulipo Tunakufikia
Naomba kujua nini kazi ya hki kifaa maana cjaelewa ila najua kinatumika kwnye decoder ya explore na nimeona sehemu kimefungwa hki kifaa na fundi ametumia LNB ya kawaida na co smart LNB km tulivyozoea katika Explore zote
Je kifaa hiki kinabadilisha signal za LNB ya kawaida kuwa smart au fundi...
Hii nimeipata ktk TV ya smart ya LG sijui kwenye tv nyingine nikaona bora niwajulishe nanyi kuhusu hili,
Kama wewe unatumia tv ya lg hili litakua linakuhusu tv yko inauwezo wa kukupa burudani kwa kuangalia Chanel za nyumbani tena nila malipo yoyote
ITV
Capital
Cloud tv
Wasafi tv
Startv
Chanel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.