Mbwa wakubwa wapo, hivyo vitoto vina mama Yao hapa tuna mifugo mingi mbuzi, kondoo, ngo'mbe, hao mbwa wanasaidia kuikinga mifugo dhidi ya fisi pia wezi wa kuku pia tuna mabanda ya kuku wa kienyrji usipokua na mbwa wezi wanabomoa usiku, mkoa wa mara wizi ni jambo la kawaida so lazima ulinde mali...