Hayo ni mawazo yako yasiyofikirika sana. Ungejiuluza hivi kabla yakuandika uzi huu.
1. Tume huindwa na nani na kwa nn.
2. Kama anaongozwa na katiba ya JMT ni kipi alikivunja.
3. Kama katiba imemruhusu sasa u huru unaoutaka ni upi.
4. Ww ndo unaona sio huru lakin vyama vyote vilivyoingia kw...
Tatizo letu wa tz tunadhan kila kitu kitabadilika mara moja. Kwanza sisi wenyewe hatuna ushirikiano na viongozi. Wakisema tusisimame kwenye daladala bado tutataka tusimame. Sasa tunamkomoa Magu au twajikomoa. Okey umeona wakenya wanaishi na kufanyakazi bila vibali kwa nn usiende kutoa taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.