Recent content by Avantar 2

  1. A

    FT: CCL: Yanga 5-1 Asas FC | Azam Complex| 26/08/2023

    Robo ya timu hawata rudii kwao Sudan watatoroka Kariakoo.Maisha ya Sudan na vita ni magumu sana.
  2. A

    FT: CCL: Yanga 5-1 Asas FC | Azam Complex| 26/08/2023

    Kipa umri wake hauzidi miaka 16 ukatili dhidi ya Watoto.
  3. A

    FT: CCL: Yanga 5-1 Asas FC | Azam Complex| 26/08/2023

    Kipa umri wake hauzidi miaka 16
  4. A

    FT: Mtibwa Sugar 2-4 Simba l Ligi Kuu ya NBC l Uwanja wa Manungu, Morogoro l Agosti 17, 2023

    Uwanja wamewagia maji mengi makusudi kumbuka hapo ni shambani.Angalia kwa mbali kuna mashine inamwagilia miwa.
  5. A

    FT: Mtibwa Sugar 2-4 Simba l Ligi Kuu ya NBC l Uwanja wa Manungu, Morogoro l Agosti 17, 2023

    Uwanja wamewagia maji mengi Wachezaji wanateleza sana.
  6. A

    Mechi ya Azam FC Vs Kitayosce imemalizwa kabla ya muda baada ya Kitayosce kubakiza wachezaji pungufu uwanjani

    Wapo 8 uwanjani na hawana sabu wakitoka Wachezaji 2 mpira unaisha.
  7. A

    FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

    Robertinho siyo kabisa katukositi mpaka usajiri wa kipa
  8. A

    FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

    Kapombe leo anashida gani?Hayupo fit kabisa hajatulia na wemegeuza uchochoro.
  9. A

    Mshahara wangu sijaupata account ilikuwa blocked, nifanyeje?

    Angalia kadi yako ya ITM itakuwa expired huwezi toa hela.
  10. A

    Miaka kumi ijayo, mabenki yatakosa soko

    Mkuu kuhusu usalama umewaza?Hivi kwenye simu yako umeweka 1bilioni utakuwa na amani? Hela ikiwa kwenye simu hainatofauti sana kuwa mfukoni.Unaweza weka hiyo 1 bilioni mfukoni utakosa amani tu.
  11. A

    DODOMA; Wabunge Washindana kula Ubwabwa!

    Wanatuchukulia poa sana Watanzani subiri mwezi wa Saba watajua hawajui.
Back
Top Bottom