Aisee hii serikali kweli iko desperate kusaka hela, nadhani taasisi mbali mbali hazijahit target zao hivyo sahizi ni fine za kufa mtu toka taasisi kadhaa wa kadhaa. Watakuja kwnye biashara yako watu wa OSHA, TRA, Wizara ya afya, Wizara ya mifugo kuhakiki kama unauza nyama iliyohakikiwa na bwana...
Nachowapendea walutheli hawanaga unafki kama sisi wakatolini, unanyege na bado unapenda mtumikia Mungu, Oa.. Unabifu na kiongozi mwezako wa dini, mchane, unataka hela na unaogopa kuiba sadaka, anzisha biashara yako... Ila mnaponiboa ni kujificha kwenye unywaji pombe, wengi wa viongoz wenu...
Hahahahaha tabia ya kishenzi sana ya kuwawekea mabinti vioo chini ya sketi ilisababisha nishushuliwe na wasichana darasa zima nikawa kama nimetengwa hivi so hata sikuwa na demu wa aina hiyo
Kwanza ushawah hata kukaa kwenye Cockpit ya ndege? Unajua ni asilimia ngapi ya matukio yanaweza toka kwenye aviation ambayo rubani atatakiwa kutumia akili zaidi kuepusha majanga? <1%...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.