Recent content by Automata

  1. Automata

    JamiiForums Tanzania Dotto Biteko ndiye Waziri Mkuu ajaye 2025-2030?

    Smart sawa, ila kubwa kuliko ni uungwaji mkono kutoka kanda ya ziwa. Kanda ya ziwa ni ya moto, ni eneo kubwa, lenye watu wengi, wenye moyo mkali (Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kagera, ukiongeza na sehemu kadhaa za Tabora).
  2. Automata

    JamiiForums Tanzania Dotto Biteko ndiye Waziri Mkuu ajaye 2025-2030?

    Mnataka kula za kanda ya ziwa, hamna lingine.
  3. Automata

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makosa ya kiufundi waliyofanya wanaojaribu kuhujumu "No Reforms No Election"

    Wanaichukia serikali yao na vyombo vyake kama polisi, na kiongozi akiwa wa dini ile ndio anatazamwa vibaya sana kama namba moja na RPC Jumanne aliyetoa taarifa potoshi ya uchunguzi wa awali....Kwa kweli zamani ilikuwa ni kama hakuna udini ila sasa umewakaa (mwana kulitafuta mwana kulipata).
  4. Automata

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makosa ya kiufundi waliyofanya wanaojaribu kuhujumu "No Reforms No Election"

    Katika jambo ambalo nakutana nalo wazi wazi ni chuki kali sana kutoka kwa wakristo na hususani wakatoliki (mtaani, serikalini, wapinzani, wana CCM) kufuatia tukio la kushambuliwa kwa Padri Kitima, tena kwenye makazi yake 'TEC HQ'.
  5. Automata

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 G55 Moshi na Temeke waondoka CHADEMA

    Kwa hili nakupa like, japo mara kibao unazinguaga we mwanachama wa Chama Cha Mafisadi.
  6. Automata

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 G55 Moshi na Temeke waondoka CHADEMA

    Hao wasaka tonge wanao jiita G55 kwa kuwa walishatoka CHADEMA, kwa njia ya kuvuliwa uanachama na kujivua wao wenyewe hawana haki ya kutumia alama za chama (nembo, rangi, nk.).
  7. Automata

    JamiiForums Tanzania Benson Kigaila mwana G55: Akiwa kwenye kiti moto cha Odemba wa StarTV, akijiuma uma na kujichanganya

    Odemba na wenzake wako vizuri, kipindi chao utafikiri Hard Talk ya BBC.
  8. Automata

    JamiiForums Tanzania Chadema kusanyeni video zote mnayoteswa na Police, zipelekeni Human Rights Watch na Amnesty International ili dunia ijue

    Pia wazisambaze kwenye balozi za western; mabunge ya nchi za western; western media kama BBC, Sky News na CNN; mashirika ya kimataifa ya misaada ya sekta ya afya, elimu na ya kibajeti.
  9. Automata

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa hana kingine cha kuisemea Serikali zaidi ya matamko ya michezo?

    Aje awapinge viongozi wake wakiroho!?!, atetee uovu 'dhambi'...Ha! Ha! Ha! patamu hapo
  10. Automata

    JamiiForums Tanzania Katoliki tunawajua Rais asipokuwa Mkatoliki huwa mnasema sana

    Hoja ya kijinga kutoka kwa mwislamu mmoja
  11. Automata

    JamiiForums Tanzania Alichoandika MwanaHistoria Mohamed Said, Baada Tamko La Askofu Rais Wa TEC

    Kati ya waislamu wenye upeo mdogo kabisa nchi hii basi Mohamed Said ni mmoja wao.
  12. Automata

    JamiiForums Tanzania Alichoandika MwanaHistoria Mohamed Said, Baada Tamko La Askofu Rais Wa TEC

    Mjahidina ameandika takataka (rubbish)...Sio kila jambo ni lakuandikia/kuzungumzia, mengine aache yajipitie.
  13. Automata

    JamiiForums Tanzania Hongereni TEC Kwa Tamko lenu , HAKI HAKI HAKI ndio msingi wa Amani, Mkipuuzwa, Itisheni Maandamano, Mimi ni Msabato, ila Nitawaunga Mkono !

    Uchafu wa Dola na Chama Cha Kijani unaumiza watu wa makundi yote ujue hilo. Kuna wakatoliki, waluteri (Mbowe kwa mfano alivyowekwa kokoroni), waislamu (Marehemu Ali Kibao), hata wasabato nao watakuwemo.
Back
Top Bottom