Kuweka kumbukumbu sawa: January ni Muislamu, jina lisikuchanganye.
Baadhi ya uthibitisho ni huu apa chini
https://gsengo.blogspot.com/2016/07/january-makamba-ashiriki-swala-ya-iddi.html?m=1
Zanzibar ama Wazanzibari wanapenda mbeleko sana.
Kila nyanja wanataka kubebwa/kupendelewa.
Wanyarwanda sio kama watanganyika waliojaa unafiki na uoga...wanyarwanda na Kagame wao kama ni nyeusi wanasema ni nyeusi na si vinginevyo.
Kiongozi ulikuwa hujui hilo!.
Uchaguzi wa Tanzania ni upumbavu mtupu (ni maigizo tu)....Uchaguzi wa Tanzania si huru na wa haki.
Wizi wa kura na hujma nyingine (kama kuengua wagombea, nk.) hufanywa na maafisa wa uchaguzi ambao ndio tume yenyewe ama serikali yenyewe....na hao maafisa uchaguzi...
Kumbe ndio mana kuna maneno serikali imehishiwa hela, hakuna malipo yanayofanyika, wazabuni wanafilisika kutokana na serikali kutolipia bidhaa na huduma ilizopewa.
.
.
.
2025 tuungane tuwaondoe fisiemu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.