Recent content by Automata

  1. Automata

    TANZIA Rais wa awamu ya pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

    Mzee wetu asili yake ni Tanganyika...Tanganyika ipewe ndugu yao
  2. Automata

    Je, utamkumbuka Hayati Ali Hassan Mwinyi kwa mambo gani?

    Mzee wetu Mwinyi azikwe kwenye ardhi ya chimbuko lake (Tanganyika yetu)
  3. Automata

    TANZIA Rais wa awamu ya pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

    Mzee wetu azikwe mahali pachimbuko lake (Tanganyika)
  4. Automata

    Ni lini Kanisa Katoliki litasimama kuliomba radhi taifa hili kwa kutuzalishia wengi wa wasomi wasio wazalendo?

    Kuweka kumbukumbu sawa: January ni Muislamu, jina lisikuchanganye. Baadhi ya uthibitisho ni huu apa chini https://gsengo.blogspot.com/2016/07/january-makamba-ashiriki-swala-ya-iddi.html?m=1
  5. Automata

    Waraka wa Luhaga Mpina siku ya Mapinduzi Zanzibar waipasua CCM

    Kama unahusu maslahi ya Tanganyika, naungana na watanganyika walio wengi kumpongeza hata kabla sijauona.
  6. Automata

    Mapinduzi Cup imeoza, mshindi amepangwa. Rwanda kutoshiriki tena? Simba inatolewa leo kwa Maelekezo?

    Mbeleko wanazozipata wanzanzibari kwenye muungano wasiwapelekee wanyarwanda.
  7. Automata

    Mapinduzi Cup imeoza, mshindi amepangwa. Rwanda kutoshiriki tena? Simba inatolewa leo kwa Maelekezo?

    Zanzibar ama Wazanzibari wanapenda mbeleko sana. Kila nyanja wanataka kubebwa/kupendelewa. Wanyarwanda sio kama watanganyika waliojaa unafiki na uoga...wanyarwanda na Kagame wao kama ni nyeusi wanasema ni nyeusi na si vinginevyo.
  8. Automata

    Wakili Mwabukusi: Mwaka 2020 nilikamata masanduku manne ya kura bandia za Rais

    Kiongozi ulikuwa hujui hilo!. Uchaguzi wa Tanzania ni upumbavu mtupu (ni maigizo tu)....Uchaguzi wa Tanzania si huru na wa haki. Wizi wa kura na hujma nyingine (kama kuengua wagombea, nk.) hufanywa na maafisa wa uchaguzi ambao ndio tume yenyewe ama serikali yenyewe....na hao maafisa uchaguzi...
  9. Automata

    Kongole AZAM TV kwa kuachana na mambo ya "UDINI"

    Hata mimi nimeshangaa msimu huu wa Christmas...udini wa Azam ulinipelekea nikang'oa king'amuzi cha Azam kwenye Lodge zangu
  10. Automata

    Tangazo la kuitwa kwenye usaili TRA

    Pazeni sauti wapublish majina...TRA wanaleta habari za CCM #2025 CCM tupa kule
  11. Automata

    Tanzania na Kenya zadaiwa kuwa vinara wa kupeleka ujumbe mkubwa wa watu COP28

    Kumbe ndio mana kuna maneno serikali imehishiwa hela, hakuna malipo yanayofanyika, wazabuni wanafilisika kutokana na serikali kutolipia bidhaa na huduma ilizopewa. . . . 2025 tuungane tuwaondoe fisiemu.
  12. Automata

    HAMAS huhusisha hawa watoto kwenye vita, ila wakikamatwa mnalia kwamba ni watoto

    Kwa rugha ya kitaalamu wanasema there is correlation between Hamas, Islam, Arab, and Satan.
  13. Automata

    HAMAS huhusisha hawa watoto kwenye vita, ila wakikamatwa mnalia kwamba ni watoto

    Mambo kama hayo ndiyo huifanya Israel ilipue shule, na miundo mbinu mingine ya namna hiyo.
Back
Top Bottom