Habarini wakuu, I trust you are all okay!
Ni siku chache tu zimepita nilikuja kwenu kuomba ushauri kuhusu mchumba wangu aliyekuwa kaniblock na kusema hataki mapenzi tena kutokana na visa kadhaa vya kuambiwa.
Ni leo hii mchumba wangu karejea mzima mzima japo alianza kwa kuni-unblock sehemu...
Hakuna kitabu ambacho ni lazima uwe nacho as at advanced level esp for science no specific book authorized but mimi binafsi kwa chemistry nilitumia CHAND(Kidogo, coz kuna wataalamu wanatoa materials mazuri tu yanayokubalika)na BIOLOGICAL SCIENCE for bios!
Na unaonekana unakwenda kusoma masomo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.