Mtoa huu UZI umechangia shilling ngapi hadi hivi sasa..maana inaelekea unajua kubana matumizi na nina imani umebana matumizi yako ili kumchangia mh.lissu safi sana kwa kuwa mzalendo Mungu akubaliki sana mtoa UZI
Braza kama kuna soda karibu hapo naomba chukua nakuja kulipia..u have got very expensive brain, I appreciate ur views!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana anafikiria nonsense ni ubongo ulio upigwa sindano ya usingiz.. Hadi leo hajui kwanni jamaa wapo kule swala la gharama na afya ya mtu[emoji15] [emoji15] haviendani kabisa pesa ipo cheap ukilinganisha uhai na afya ya mtu ~using OKING X307 Original
Sent using Jamii Forums mobile app
Shetani hajawai mshinda Mungu hata siku moja... Saivi nipo kwenye bombardier q## nakatiza mitaa ya Lumumba nimeishiwa bando[emoji21] [emoji21] [emoji21] [emoji21]
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wasio Julikana..Na kwa kukisia kama hii michezo inafanywa na watanzania na kama hii system itaendelea hadi mwaka 2599 basi Nusu ya watanzania watakuwa hawajulikani pia... Ni wazo tu napita hapa #lumumba kununua vocha maana Bando linaelekea kuisha ivyo by using OKING X507
Sent using...
Watu wana blame mambo madogo sana yaani mzozo wote huu kisa id etiii UDSM sasa kina ina kera nini sasa kwa mfano....me cjawai sikia kina watu wame pofuka macho etii kisaa amemuona udsm student amevaa id...jaman ni sasa kwani ukipiga picha na id ni dhambi kweli nani ka kwambia icho kitu ni cha...
Vp kwan fungu la kumi Nini mkuu… kwan linapatikana kwenye mkopo pekee jaribu kuwa na dynamic mind… so kwa wale ambao hawana mikopo unazungumziaje labda hao fungu la kumi wanatoa kwa njia zipi nakama wanatoa je hzo njia haziwezi tumika na mtu alie na mkopo alafu akatumia mkopo kununulia hizo sofa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.