Recent content by aunt n.m

  1. A

    Nyumba ya Askofu Gwajima imezungukwa na Polisi sasa hivi

    Si wamuache baba wa watu jamani!
  2. A

    Ukimya wa Mwingira, Mzee wa Upako, Kakobe, Mtikila kwenye Sakata la Gwajima

    Mh mbona kama Gwajima anaonewa jamani....unajua wakishazidi kumfuatilia kila mtu atajua anaonewa
  3. A

    Mch. Gwajima amgomea Makonda

    Ndo maana amepewa ukuu wa wilaya mwishoni maana angepewa mwanzoni angetuchanganya tu
  4. A

    Mch. Gwajima amgomea Makonda

    Makonda aache unafiki tena unafiki hasa mlokole wa enzi zile mbona ye mwenyewe akiwaga na shida anaendaga kusali kwa Gwajima?
  5. A

    Bungeni Leo - Aprili 1, 2015: Bunge laahirishwa ghafla, Muswada wa Vyombo vya Habari kusomwa!

    Mh baaaado aisee mi sijui kama hata upinzani umekomaa kiasi hicho kwa nini asiingie lowassa tumalize mchezo?
  6. A

    Hongera Tv Imaan na Radio Imaan

    Mh msilete udini lakini maana siye wala hatufagilii
  7. A

    Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

    Unajua mi naona wabongo tunapoteza muda mrefu sana kujadili watu wenye mafanikio yao kisha tunasahau ya kwetu tubadilike
Back
Top Bottom