Recent content by August 83

  1. A

    Mpango wa Kagame kupeleka wakimbizi wa Uingereza Rwanda wayeyuka

    Mwisho wa dikteta Kagame utakuwa mbaya zaidi ya!
  2. A

    Mheshimiwa Mpina ondoka leo na siyo kesho hapo CCM

    Kwa jicho la kuona mbali ni wakati sahihi wa bwana Mpina aondoke CCM. Ni wazi mfumo wa Serikali ya sasa umemkataa kwa sababu moja tu nayo ni wenzake wanapiga ilhali yeye hafanyi hivyo. Suluhu na salama kwake ni aondoke bila kuchelea hapo CCM.
  3. A

    Kwanini Serikali inaingia mikataba ya mda mrefu?

    Ukiangalia mikataba mingi anayoingia Rais Samia na anaowaita Wawekezaji mingi ni ya muda mrefu. Mikataba ya aina hiyo ilipata kuingiwa pia kipindi cha utawala wa Mzee Kikwete. Ikumbukwe mikataba ya Kikwete na wawekezaji iliupa wakati mgumu mno Serikali ya Magufuli hasa ikizingatiwa mingi ya...
  4. A

    Bashe yupo ukingoni, hakupaswa kupambana na wadau wa sukari

    Hifadhi hilo nililokujuza na kwa mapenzi ya Mungu rejea tena mwezi wa 6/ 2025 baada ya Mkutano mkuu wa CCM wa kumteua mgombea wa u Rais kupitia chama chao.
  5. A

    Bashe yupo ukingoni, hakupaswa kupambana na wadau wa sukari

    ...Kinana hana madhara tena ndani ya Utawala huu. Na nafasi yake atapewa Makonda kabla ya jua LA 2025 halijazama.
  6. A

    Bashe yupo ukingoni, hakupaswa kupambana na wadau wa sukari

    Bashe ambaye ni Mbunge wa Nzega mjini na Waziri wa Kilimo wa Serikali ya Rais Samia dalili zi wazi anaelekea kukwama. Kwa wajuzi wa mambo ya siasa watakubaliana na mimi kwenye hilo. Waziri Bashe hakupaswa kupambana na wadau wa sukari kwa aina ile ya kiburi na majivuno! Kwa kuanzia alipaswa...
  7. A

    Paul Makonda ndiye Mkuu wa Mkoa anayependwa zaidi kuliko Wakuu wote wa Mikoa kwa sasa

    Ndiye Makamo M/kiti ajaye wa CCM na Rais pia ajaye wa Tz
  8. A

    Video clip ya Lema anamaanisha nini?

    Spika Tulia akitalii huko Pryimid, Misri na ulinzi mkali! Sema Lema kaweka hiyo video kama kejeli na mzaha.
  9. A

    TAKUKURU Arusha yabaini watumishi wawili kutengeneza control number bandia na kutengeneza kampuni hewa ili kuchepusha pesa!

    Mhunze, Jishapu, Ngw'ataga, Mangu, Shagihilu, Bhugogo, Ndoleleji, Idesa, Ngw'alata, Masanga, Ngw'angh'alanga, Isemelo mpaga Bhunzinza. Hahaha!
  10. A

    Kwa Mfanyabiashara Anaeweza Kuzalisha 1m kwa Mtaji wa 5m kwa wiki

    Najali! Biashara ya mafanikio ni siri.
  11. A

    Kwa Mfanyabiashara Anaeweza Kuzalisha 1m kwa Mtaji wa 5m kwa wiki

    5 milioni ukose 1 milioni kwa wiki, kweli!? To me,nikiwa na pikipiki ndogo cc125 na capital ya 2 milioni naweza kuingiza zaidi ya hiyo unayosema.
  12. A

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Kwa uthubutu na utenda kazi usio chosha, ni vyema sasa Mamlaka za uteuzi zimteue Makonda kuwa Mkuu wa Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro. Kwa huyo Nurdin Babu sielewi hata huo Ukuu wa Mkoa alipewa kwa kigezo kipi!
Back
Top Bottom