Kama bado unaishi maisha ya kila siku lazima uache kodi ya meza nyumbani ndio watu wale basi bado una safari refu kwenye haya maisha
Mbona kama hii comment ina makasiriko ndani yake
YSa
Yaan nyie ni makondoo na hivyo vitabu vyenu havikukosea kuwaita makondoo,yaan mtu anawadamganya live halafu mnashindwa kumuuliza swali dogo tuu,yeye anasema wakati anafanya huo miujiza kwani nyie mlikuwepo na nyie mngemjibu kwa kumuuliza tuu wakati yesu analisha wale watu elfu 5000 kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.