Recent content by athumani mfaume jr

  1. athumani mfaume jr

    Jamani wajuzi wa mambo mtujuze kuhusu Bajeti na Ajira

    ushauri wangu usikae kusubili ajira za serikali watu ni wengi na zikitoka ni chache na kutangazwa kwake ni kitendawili. piga mishe zingine tu
  2. athumani mfaume jr

    Msaada wa kazi, nina degree ya IT

    habari za muda huu ndugu zangu, mimi kijana wenu mkazi wa Ubungo, Dar es salaam na muhitimu wa shahada ya habari mawasiliano na biashara (IT with Business) mwaka 2020. Nimejikita zaidi kwenye web application na graphics design. Nilikuwa naomba msaada wenu wa kuniwezesha kupata kazi iwe kazi...
  3. athumani mfaume jr

    Tangazo la ajira kutoka Jeshi la Polisi Tanzania Aprili, 2024

    kijana kazi zipo chini ya jeshi la polisi kikubwa fuata maelekezo na uwe na vigezo wanavyotaka ukitaka kupewa kipaumbele utaishia kutapeliwa tu watu wa humu wanaweza kukupa ushauri tu jinsi ya kuomba kazi ila hawana uwezo wa kukupa kazi za jeshi la polisi
  4. athumani mfaume jr

    Kwa waliowahi kufanya usaili wa IT Security huko ajira portal msaada wa muongozo

    si kuna aptitude test mtandaoni anz ku focus na hiyo
  5. athumani mfaume jr

    Kwa waliowahi kufanya usaili wa IT Security huko ajira portal msaada wa muongozo

    mm mwenyew wamenichagua hiyo mkuu kikubwa nazan ni kusoma tu computer security uielewe
  6. athumani mfaume jr

    Mtaalamu wa kutengeneza software anahitajika

    programming ni pana sema unahitaji wa ain gn
  7. athumani mfaume jr

    Natafuta kazi ya kujitolea nina Degree ya IT

    naomba unielewesh kuhusu psrs
  8. athumani mfaume jr

    Natafuta kazi ya kujitolea nina Degree ya IT

    unaweza kunifahamisha kuhusu psrs
  9. athumani mfaume jr

    Natafuta kazi ya kujitolea nina Degree ya IT

    Habari za muda huu ndugu zangu?, Mimi Athumani mkazi wa Dar es salaam mwenye degree ya IT. Natafuta kazi ya kujitolea ili nipate uzoefu na kuongeza kitu kwenye CV yangu. Nina ujuzi wa graphics, na kutengeneza web apps hivyo naomba msaada wenu. mawasiliano: 0656058186
  10. athumani mfaume jr

    Nina degree ya IT, natafuta kazi yoyote nipo DSM

    jifunze vitu ujuzi unaweza kukubeba kuliko wenye vyeti
Back
Top Bottom