Kwa heshima kubwa, ningependa kuelezea malalamiko yangu kuhusu jinsi baadhi ya vyombo vya habari vinavyotoa taarifa zinazopotosha hadhi ya wauguzi, huku mabaraza ya uuguzi na ukunga yakiwa kimya bila kuchukua hatua za kutetea kada hii muhimu ya afya.
Mfano halisi ni taarifa iliyochapishwa na...
Unatukumbusha Industrial Revolution 1800's hakika mapinduzi haya huwa yanaacha simanzi nikikumbuka kipind hicho cha Industrial Revolution Mataifa yaliokuw yanatumia nguvu kazi watu yaliachwa nyuma na mataifa yaliyoanzish matumizi ya mashine........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.