Lakini kama bakwana ni NGO kama zingine, kwa nini katiba yao haipatikani?
Pia mimi naona waislam wenye kuifuata hii NGO ndio wanaipa validity
Kwani kutoa talaka na kupata talaka lazima mtu aende Bakwata?
Halafu problem ya leadership mimi siamini kama kuna kiongozi hata mmoja wa Bakwata ana...
This is boderline bullying
yaani mnavyomuandama sijui akilala usiku saa hizi anajiskiaje
Adam ana kashfa gani ambayo amehukumiwa jamani? cut him some slack please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.