Recent content by Atheist With Points

  1. A

    Kati ya hizi Biblia ipi ni sahihi yenye ufunuo wa kweli wa Mungu?

    Nataman kushirik kweny thread ila nimeona kuna watu wanahasira humu had naogopa kushirik
  2. A

    Kuna jamaa kila nikinunua kitu kwake, ananiongeza, nashindwa kumuelewa kabisa

    We chakufanya nunua daftari kish andik kila nyongeza na gharama yake na uandae akiba kwa kibubu cha nyongez ili siku akikuambia anakudai milion 1 na anatak umlipe usiseme "mi achoka"
  3. A

    Kuna diary zangu niliziandika kwa mda wa miezi sita mwaka 2022 nilikuja kuzichoma moto

    Kilichosababisha uzichome moto ni baada ya kuziprove practically au theoritically, ninamaanisha ziandike upya kisha uzireport sababu hujamaliza all scientific procedures. be aware of ware where underwear weared because it made your existence
  4. A

    Kutoa kafara ya damu ya wanyama na wanadamu ni upumbavu, Yesu Inatosha

    mbona hujibu hoja bali unaandika vitu tofauti.Jibu hoja kisha tuendelee.Au wewe huifahamu sana hiYo riwaYa uliYomezeshwa na hao hao hao maghaibu
  5. A

    Kutoa kafara ya damu ya wanyama na wanadamu ni upumbavu, Yesu Inatosha

    :D:D:D:rolleyes::rolleyes::rolleyes::eek::eek::eek::eek:. Wewe umezaliwa mwaka gani? yesu alikufa mwaka gani? na ulimwona mwaka gani? Je hizo sizo dawa za Hallucinogens or alcohol
  6. A

    Kutoa kafara ya damu ya wanyama na wanadamu ni upumbavu, Yesu Inatosha

    Kwa nini ameshindwa kumzuia adui wake wa kwenye hzo hekaya ambaye ni shetani, kwa nini ameshindwa kujionyesha mubashara kwa watu wake, kwa nini ameruhusu asifuatwe. Je huyo ni muweza wa yote?
  7. A

    Kutoa kafara ya damu ya wanyama na wanadamu ni upumbavu, Yesu Inatosha

    Haiwezekani,wala haitowezekana na kama kuna ushahidi leta proof na sio riwaya
  8. A

    Kutoa kafara ya damu ya wanyama na wanadamu ni upumbavu, Yesu Inatosha

    Hivi mfano wa mwanadamu unaweza kutoka damu, maana ni mfano vipi useme damu yake imekukomboa kwa maana kama hajaweza kubakisha mabaki inamaana asingeweza kutoka damu
  9. A

    Kutoa kafara ya damu ya wanyama na wanadamu ni upumbavu, Yesu Inatosha

    Lakini ulivyoandika hapa vinaweza kufanywa na mtu yeyote na kisha akachagua title yeyote.
  10. A

    Kutoa kafara ya damu ya wanyama na wanadamu ni upumbavu, Yesu Inatosha

    Ikiwa inasemekana kuwa Yesu alitumia mwili wa mwanadamu, je damu Yake inaweza kukuponesha, je damu Ya mwili wa binadamu huchukua muda gani kukauka baada Ya kufa, je hizo sio hekaYa za NYoka watemao moto?
  11. A

    Huu ndio ukweli ambao watu wengi wanaogopa kusema

    Kwa nini? nnahitaji na vivid example
  12. A

    Huu ndio ukweli ambao watu wengi wanaogopa kusema

    Karma ni uongo na ili kulithibitisha hilo ninahitaji mtu anipe sheria za karma (karma laws), sio kifizikia nnamaansha utendaji kazi wa karma ambao hauvunjiki (always its result from effect become same as effect)
  13. A

    Huu ndio ukweli ambao watu wengi wanaogopa kusema

    Hata mm pia ni samaki ninahitaji kukunjwa angali mbichi lkn huwezi nkunja mpk univue.So ili univue lazm utege chambo, nshawishike na chambo,nifuate chambo, niimeze chambo kwa kuwa mm ni samaki mkubwa aina ya papa sivuliki kiurahisi kama dagaa inahtajika tuanze kushindana nguvu either unitoe...
  14. A

    Huu ndio ukweli ambao watu wengi wanaogopa kusema

    Tunajitangaza rasmi maana tumechoshwa na hekaya, mara mwezi ulimkata begani mtume mara ooh amemfufua mtu.AM JUST TIRED TO FOLLOW SOMEONE WHO TELL ME TO DISCOVER COLOR OF WIND
Back
Top Bottom