Recent content by Athanas59

  1. A

    Hivi ni mimi tu haya maisha yanataka kunikataa?

    Usikate tamaa ,Amini Mungu hatakuacha .
  2. A

    Tabia za mabinti wa kinyiramba wa kizazi hiki cha 2000

    Mke mwema Hutoka kwa Bwana.Acha kutamani chagua mke wa kuoa.
  3. A

    PreGE2025 Afande Sele awachana CHADEMA

    Hakuna kiti ni proganda za ki it
  4. A

    Mtu mwenye Ualbino ni mlemavu au sio mlemavu?

    Wajibu wenye uwalbino wanajichulia kama walemavu au?
  5. A

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Umeme kama Tanesco wange mpa kila mtu (Kaya)umeme bila gharama za nguzo Tanzania,Tanesco ingekuwa inaingiza mabilioni ya fedha kutokana na token na Selikali wizara ya,ardhi ingepata kodi ya kila ardhi inayomilkiwa kwa matumizi ya Maya,Kuaanda,biashara nk.
  6. A

    Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

    Kusema kweli Mungu huchukia kuachana(Kwa sana ndoa) Ndoa ilianzishwa ni taasisi ilioanzishwa na Mungu Mwenyewe,Taasisi hii iitwayo ndoa ni Chuo kidogo cha injili.Chuo ambacho wanaojiunga nacho wajiunge kutoka moyoni na sikufuata pesa nk. Christina Muimbaji mashuhuri kwa chini utafakari ulikotoka...
  7. A

    Nani mwenye nguvu anayeruhusu 'Mauaji ya Sumu' ndani ya CCM?

    Kasema kafafanua sana. Wachawi wauaji walioko ndani ya CHAMA chetu inamaanisha hawawezekani ! Kuweka hili hadharani ni udhaifu mkubwa ulioko ndani ya CCM.
Back
Top Bottom