Ni rahisi sana, kila unapopokea mshahara wako jitahidi uweke akiba ya Mill 2.5 kila mwezi maana yake ndani tu ya miezi kumi utakuwa na 25 Millioni na ukivumilia kwa 2 months more maana yake utakuwa na 30 Mill kwa mwaka na hapo huna tena sababu ya kwenda kukopa benk au sehemu yeyote.
Utakuwa na...
Very good observation but honestly CHURA KIZIWI ANA UWEZO MDOGO SANA ALMOST NI ZERO IQ! Hawezi kuendesha hii nchi na wala asidhani kuwa ana sifa ya kuiongoza Tanzania kwa sasa .
Tatizo lake kubwa ni kiburi lakini pia wote waliomzunguka ni chawa na wapo kimaslahi hivyo kazi yao ni kumuombia...
Tatizo lake ana kiburi sana. Yaani mtu anajua kabisa kuwa ameingia kwenye hiyo nafasi kwa bahati mbaya tu lakini anashupaza shingo anajiona ana uwezo wa kuendesha nchi. Hopeless kabisaaaa
Yaani mwenzio napata wivuuuu hata ungekuwa wewe ujue kugega mdala wa kunyumba kumsamala na kumatogoro/Seedfarm chabwina sana vandu mkita kutama vavaili mkitikta kulongengela na kuhekesana mwihuma kumonga, lolokesa huti namyangu ku-msamala na kutali kulaaa ku-meru au ku-upare, mhmhm
Ndava ya kiki...
We jitoe ufahamu kama upo msamala vile , sasa ukiingia hizi anga zetu za Seedfarm nitahakikisha unamsahau huyo mmeru wako!
By the way "msalimie umpendae" na karibu sana Seedfarm "A".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.