Acha waendelee kukupiga mikuyenge hadi akili ikukae sawa ndio utakubali kumpokea mwanaume mwenye nia ya dhati ya kukuoa. Kwa sasa acha wajuba waendelee kuisosomolaaa
Ndugu zangu wana Jf,
Kwa sasa I am on the way kukamilisha my dream house kwa hatua ya kuweka /kufunga Gypsum board.
Nipo mkoani na SIPO DSM. Kwa makadirio ya fundi wangu ninahitaji GYSUM BOARD KAMA 75 HIVI. Kwa huku niliko hizi gypsum board za double elephant HAZIPO NA HAZIPATIKANI. KWA...
KILA LAKHERI MKUU.
Mimi pia nilitamani kufanya hivyo kama ambavyo wewe una wiwa kufanya kwa mtoto wako.
Mimi niliplan kufanya hivyo mwaka 2025 kwa condition kwa Samia asipogombea basi mimi nitakuwq miongoni mwa wagombea watakaoomba ridhaa ya chama cha mapinduzi (CCM) ili kuongoza dola.
Kwa...
Ni rahisi sana, kila unapopokea mshahara wako jitahidi uweke akiba ya Mill 2.5 kila mwezi maana yake ndani tu ya miezi kumi utakuwa na 25 Millioni na ukivumilia kwa 2 months more maana yake utakuwa na 30 Mill kwa mwaka na hapo huna tena sababu ya kwenda kukopa benk au sehemu yeyote.
Utakuwa na...
Very good observation but honestly CHURA KIZIWI ANA UWEZO MDOGO SANA ALMOST NI ZERO IQ! Hawezi kuendesha hii nchi na wala asidhani kuwa ana sifa ya kuiongoza Tanzania kwa sasa .
Tatizo lake kubwa ni kiburi lakini pia wote waliomzunguka ni chawa na wapo kimaslahi hivyo kazi yao ni kumuombia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.