[kasoro zetu wanaume isiwe sababu ya kuwasema ovyo wa kina dada. Mwanaume anaejitambua na kujielewa hawez kusema haya!kwako mtoa mada pole sana kwa udhaif uliokua nao....hapa umechemka.......QUOTE=Emirates4;7353506]I AGREE MKUU!! Mimi ni mwanaume pia lakini huyu si mwanaume nadhani ana jinsia...
Tumaini university college iringa na Iringa university ni chuo kimoja....ambapo mwanzo kilijulikana kama chuo shirikishi cha tumaini bt nw kimekua university of Iringa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.