Recent content by assassin eagle

  1. assassin eagle

    JamiiForums Tanzania Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Jamaa yetu BM mbona kimya ,hujatupa hata mrejesho wa kura tulizopiga
  2. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji matumaini ndani ya nafsi yangu, semeni chochote kinisaidie

    Nitafute pm But all in all Amin muda unaponya ,jipe muda na kuwa na subira . Amin yanatokea ili tujifunze ili tuwe strong
  3. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

    Data hazidangaji ukifanya uzembe utajulikana tu na utawajibishwa .
  4. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

    Nadhani ni sababu ya promotion ,kwangu mimi fursa zinampata anaefanya kazi na tunaona matokeo Wewe kila sehemu una haribu ,utapenda kwenda semina tu ,ila ukitoka huko una relax . Hufanyii kazi uliyofundishwa huko .
  5. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

    Inanipa mamlaka ya kumpa onyo , Na kumuandikia makosa yake kwa barua ,asipobadilika ninamshtaki kwa ngazi za juu . Hivyo anaweza kuhamishwa kwa utovu wa nidhamu
  6. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

    Sijabana Sana ila walau nimebanana , Wakati naingia mapato yalikuwa hayafiki laki 2 Lakini now tunachezea mil 3.5 Dili zangu nyingi zinatokana na jinsi ninavyokusanya . Mimi ni mkuu wa kituo ,kazi za kujiripa ni nyingi . Yaani nikipigika naenda tu hata kutoa elimu sehemu fulani . Najiandikia per...
  7. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

    Huwezi kumtuma akakubali ,yaani anakiburi hatari . Mwanzo hakuwa hivi
  8. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

    Asante kwa ushauri chifu
  9. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

    Kwa kweli
  10. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

    Mimi kwa upande wangu naona nime emprove Sana kwenye kuandika . Everything need exercise ,unaweza kuwa msomi mzuri lakini usijue kupangilia vizuri maneno Napenda Sana kusahihishwa
  11. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

    Kwa kweli mimi kampani yangu kubwa na burydani yangu kubwa ni huku jf . Sina mazoea ya kukaa vijiweni na wala situmii pombe na sigara .
  12. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

    Noted for action
  13. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

    Asante kwa ushauri ,japo kwa upande wangu nilipunguza kumtuma na kumpa fursa za semina . Lakini naona anazid kunichukia Zaid, nilishawahi kumuandikia barua lakini hajawahi kujirekebisha . Kwa experience yangu naona hivi ninavyoishi nae ni sahihi ,kwa sababu nakwepa mambo mengi Sana. Ebu fikiria...
  14. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

    Nitamwambia
  15. assassin eagle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

    Sisi ni watumishi wa afya ,mimi ni mkuu wake wa kituo . Mimi ni AMO yeye ni ANO Hii ni kazi yangu ya kwanza serikalini ,japo nilifanya Sana privates kabla sijaingia serikalini.
Back
Top Bottom