Ndugu "Mtafiti", utafiti wako sampling technique yako ilikuwa ipi?, Sampling frame yako ilikuwa na population kiasi gani?, ulitumia formular ipi iliyokuwezrsha kupata sample size ya wahojiwa 21?
Kigoma ni kubwa, wahojiwa wako walitoka buhigwe?,au uvinza?, au kakonko? ,kibondo? ,kasulu? au...