Recent content by Asprin

  1. Asprin

    JamiiForums Tanzania Hadhi ya Mwanza na majiji mengine ipo wapi? tukisema hizi ni dharau tunakosea ? Bajeti na mikopo ni kwajili ya miradi ya Dar na Dodoma ?

    Usisahau enzi za mwendazake mpaka Airport ilijengwa Chato... CRDB Bank, Mpaka tukapeleka wanyama tuanzishe mbuga yetu na kuna Hospitali ya rufaa na tukafikia kwenye mchakato wa Chato kuwa mkoa. Hii sasa ndio inaitwa CCM yajenga nchi. Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Subiri Bashite...
  2. Asprin

    JamiiForums Tanzania Zaburi 23:5 Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika

    Sasa mkuu ndugu yangu, huyu Nabii anatuma mahubiri kama haya Jumamosi usiku wa manane.....K Vant itakuwa wapi?
  3. Asprin

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimefanya master dating for 2 month sasa aise hii kitu ni nzuri sana

    Hiyo ni kwa wavulana peke yao? Au kuna Mistress dating pia?
  4. Asprin

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29 na ukiukwaji wa haki unaoendelea, siwezi tena kubaki CCM, nimeamua kurejea CHADEMA

    Binafsi nimeshangaa sana komredi. Ila nadhani huyu mwamba alimaanisha Mbowe kuachia uenyekiti....
  5. Asprin

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimefanya master dating for 2 month sasa aise hii kitu ni nzuri sana

    What??? How??
  6. Asprin

    JamiiForums Tanzania Zaburi 23:5 Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika

    Kwa haya mahubiri, yametosheleza sitaenda kanisani wiki mbili. Imagine unapata mahubiri kama haya huku ukiwa unakunywa K Vant...
  7. Asprin

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimefanya master dating for 2 month sasa aise hii kitu ni nzuri sana

    Nifafanulie basi kijana wangu.
  8. Asprin

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimefanya master dating for 2 month sasa aise hii kitu ni nzuri sana

    Kabla hujamuuliza naomba unifahamishe mimi babu yenu... Hii master dating ndio sisi wazee tulikuwa tunaiita masturbation?
  9. Asprin

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29 na ukiukwaji wa haki unaoendelea, siwezi tena kubaki CCM, nimeamua kurejea CHADEMA

    Mbowe ana zaidi ya mwaka toka ang'oke.... Ilikuwaje hakurudi mara tu baada ya Tundu Lissu kuchukua uongozi wa Chama ndio aje arudi leo?
  10. Asprin

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29 na ukiukwaji wa haki unaoendelea, siwezi tena kubaki CCM, nimeamua kurejea CHADEMA

    Mauaji Oktoba 29, 2025. Machungu na kuhama chama May 23, 2026. Mchungaji ni mvumilivu sana wallah
  11. Asprin

    JamiiForums Tanzania Kipi bora kununua nyumba au kujenga mwenyewe?

    Aisee we jamaa wa kulog off kumbe bado uko mzimamzima. Heri ya mwaka mpya. Nalog on
  12. Asprin

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nissan Civilian bus inauzwa

    Kwamba unadhani gari nyingi unazoziona barabarani hapa bongo zina miaka mingapi tangu zitengenezwe?? Hiyo mbona bado kisu sana?
  13. Asprin

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba(PM): Walimpiga kiongozi wa upinzani(Lissu) risasi ili ionekane ni serikali

    Hivi PhD yake ni ya kukaa darasani au kama ya Mama na kaka yake JK?
  14. Asprin

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya "h" yamekithiri

    We jamaa kiboko. Umefukua kaburi la mwaka 2009!
Back
Top Bottom