Recent content by Asprin

  1. Asprin

    JamiiForums Tanzania Kuna tabia ya kike imeingia miongoni mwa wanaume kulala kwenye vitanda vya kike

    Yaani mwanaume unapandaje basi kwenda mkoa wakati kuna maFuso na yale magari ya magazeti? Yaani dume zima linaenda Airport kupanda ndege??? Treni si ipo?
  2. Asprin

    JamiiForums Tanzania Kuna tabia ya kike imeingia miongoni mwa wanaume kulala kwenye vitanda vya kike

    Cha msingi kijana wangu, we tafuta hela tu. Mengine yanajileta yenyewe ukiwa na hela ya kutosha.
  3. Asprin

    JamiiForums Tanzania Kuna tabia ya kike imeingia miongoni mwa wanaume kulala kwenye vitanda vya kike

    Acha kutushushia hadhi yetu. Mwanaume analala barazani kuzuia wezi....
  4. Asprin

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea ndani JF?

    Niliwafanyia ukaguzi tu wa kawaida....
  5. Asprin

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mchungaji Peter Msigwa: CHADEMA ina wanachama laki nne tu Nchi nzima

    Mzee naona uko unapalilia makaburi
  6. Asprin

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mchungaji Peter Msigwa: Tunazima zote tunawasha Kijani

    Mzee mwenzangu naona leo uko Makaburini....
  7. Asprin

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea ndani JF?

    Acha tu. Nimeamini wachuchu wa MMU hawana UKIMWI wala UTI. Nawashukuru sana kwa ushirikiano wao uliotukuka.
  8. Asprin

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Msigwa: CCM inaongoza kwa utekelezaji wa Ilani barani Afrika

    Mzee naona umefukua kaburi la 2024.
  9. Asprin

    JamiiForums Tanzania Kwenye mshahara wako ukisave kila mwezi 700k unabakiwa na tsh ngapi?

    Kwahiyo sisi tunaosevu 2m unataka hiyo 1.3m tukaitoe sadaka>
  10. Asprin

    JamiiForums Tanzania Hadhi ya Mwanza na majiji mengine ipo wapi? Tukisema hizi ni dharau tunakosea? Bajeti na mikopo ni kwajili ya miradi ya Dar na Dodoma?

    Usisahau enzi za mwendazake mpaka Airport ilijengwa Chato... CRDB Bank, Mpaka tukapeleka wanyama tuanzishe mbuga yetu na kuna Hospitali ya rufaa na tukafikia kwenye mchakato wa Chato kuwa mkoa. Hii sasa ndio inaitwa CCM yajenga nchi. Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Subiri Bashite...
  11. Asprin

    JamiiForums Tanzania Zaburi 23:5 Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika

    Sasa mkuu ndugu yangu, huyu Nabii anatuma mahubiri kama haya Jumamosi usiku wa manane.....K Vant itakuwa wapi?
  12. Asprin

    JamiiForums Tanzania Nimefanya master dating for 2 month sasa aise hii kitu ni nzuri sana

    Hiyo ni kwa wavulana peke yao? Au kuna Mistress dating pia?
  13. Asprin

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29 na ukiukwaji wa haki unaoendelea, siwezi tena kubaki CCM, nimeamua kurejea CHADEMA

    Binafsi nimeshangaa sana komredi. Ila nadhani huyu mwamba alimaanisha Mbowe kuachia uenyekiti....
Back
Top Bottom