Recent content by Asprin

  1. Asprin

    Aliyevamia Kiwanja cha mwingine kwa miaka 20 Mbezi Africana avunjiwa ghorofa

    Unamdhalilisha huyu jamaa.... kule haitwi hivyo, anaitwa Shetty.
  2. Asprin

    Aliyevamia Kiwanja cha mwingine kwa miaka 20 Mbezi Africana avunjiwa ghorofa

    Jumuiya ya Afrika Mashariki, makao makuu Arusha hapa....
  3. Asprin

    Aliyevamia Kiwanja cha mwingine kwa miaka 20 Mbezi Africana avunjiwa ghorofa

    Nipo mkuu. Nikikaribia kudedi ntakustua unifanyie sala ya toba.
  4. Asprin

    Aliyevamia Kiwanja cha mwingine kwa miaka 20 Mbezi Africana avunjiwa ghorofa

    Sasa walalahoi watapanda nini wakienda kusali?
  5. Asprin

    Suala la mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar wala lisifanywe la kisiasa, pitieni hapa msome muelewe sababu

    Angezikwa Mkuranga, Dr. Mwinyi urais wake Zenji ungekoma 2025. Mkakati ni mkakati....
  6. Asprin

    Aliyevamia Kiwanja cha mwingine kwa miaka 20 Mbezi Africana avunjiwa ghorofa

    Ndio mpaka Waziri akasimamie? Au Naomi ni mchepuko wa mheshimiwa?
  7. Asprin

    Aliyevamia Kiwanja cha mwingine kwa miaka 20 Mbezi Africana avunjiwa ghorofa

    Waziri anasimamia uvunjwaji wa nyumba????? Hii nchi tukifanikiwa kufika mbinguni tutapangiwa kazi ya kudeki vyoo vya stendi za daladala....
  8. Asprin

    Humility imembeba mzee Mwinyi, alisema yeye ni kichuguu!!

    Mwendazake wa Chattle....
  9. Asprin

    He ok low

    Si mpaka apone?
  10. Asprin

    He ok low

    Tatizo kasahau kutoroka na dawa zake....
  11. Asprin

    Mwadhama Kardinal Protase Rugambwa akipewa zawadi huko Santa Maria in Montesanto Roma Rugambwa

    Muadhama ni jina la heshima kwa Kadinali Mhashamu ni jina la heshima kwa Askofu/Askofu Mkuu... Ni kama vile tu kajambanani kama mimi nikidedi naitwa marehemu... Lakini wakifa manguli kama Nyerere, Lowassa, Magufuli... wanaitwa Hayati.... Uzuri mbinguni wote tuna haki sawa, asema Bwana wa...
Back
Top Bottom