Ezekieli:3.3
Akaniambia, Mwanadamu, lisha tumbo lako, ulijaze tumbo lako kwa hili gombo nikupalo. Ndipo nikalila, nalo kinywani mwangu lilikuwa tamu, kama utamu wa asali.
Ezekieli:3.4
Akaniambia, Mwanadamu, haya! Waendee wana wa Israeli ukawaambie maneno yangu.