Wadau nashindwa kuelewa kwanini tuna jikuta tunaingia kwenye mahusiano ya kipuuzi namna hii hivi kweli ni maadili ya afrika ndo yamefikia huku kweli jaman mkwe wa mbunge wa mbeya ,mjini sugu anatangaza mtandaoni kua ana hamu ya kufanya mapenzi na kuona hii hali ni ya kwaida kwake watu...
ben wewe na chama chako uko salama kwanini ue mkosoaji wa chama ambaco si chako Inapofikia hatua Katibu wa Itikadi na Uenezi anatoa matamko na tuhuma nzito kuwa kada Mwenzake Lowassa anavunja kanuni na taratibu za chama kwa kuaandaa makundi ya kumshangilia na kumuunga mkono ni lazima sasa...
swala la urais ni swala nyeti sana lowasa na membe wana iabisha sana taasis ya uras na ccm wana watazama tu ...hapo kinacho fa6ta sasa ni anguko la chama navoona mimi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.