Naona majibu mengi humu yanakubaliana na mtoa mada, sasa swali linakuja kwenu wadada, je ni bora udate na mwanaume ambae hana hela ufikishwe kileleni au udate na mwenye hela upate unachotaka then uguswe guswe tu kunako bed?
Katka vitu ambavyo siwezi ni kukaa kwa shemeji(mume wa dada) yaani mimi sio kukaa hata kwenda tu kushinda kutwa moja huwa inaniwia vigumu inakuwa kama amewaoa wote na naomba mungu aniepushe kadhia ya kukaa kwa shemeji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.