Najaribu sana kufikiria, je Afrika utapataje maendeleo endapo Kila kitu ambacho tunachotaka kufanya cha maendeleo yetu ulaya inapinga, inatoa vijisababu vya ajabu ajabu mpaka unakosa majibu Nia Yao ni nini hawa jamaa.ninachokiona hawa wazungu hawana mpango mzuri na watu wa Afrika.
Haiingii...
Balaa zaidi unapoweka,au pesa Yako inapopitishiwa bank makato yake utakoma ukitoa Benji kupeleka katika simu wanakata na unapotoa katika simu Nako wanakata Kila Kona tozo hatari sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.