Recent content by ASHURAY ABDALLAH

  1. A

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

    Asante Mungu nimebahatika,, nilikua sina imani na utumishi,, sasa nimeamini kweli inawezekana
  2. A

    Tunaomba update za interview TRA

    Zipo za kutosha kwa kweli, hongereni kwa mliochaguliwa, kweli mi mipango ya Mungu!
  3. A

    Msaada: Naomba muongozo wa Interview TRA

    Nawe pia mtihani mwema, tutakutana kujipima, maana sio kwa umati huu! Duuuh Mungu tusaidie kwa kweli
  4. A

    Msaada kuhusu Tanroads Interview!

    Nimepigiwa simu na Tanroads Morogoro niende interview. Jamani msaada wenu interview zao hua zinakuaje?
  5. A

    Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

    Jamani naombeni ushauri wenu kuhusu mpesa na tigopesa Kwa mtaji wa million moja, vipi unalipa ama ntapoteza? Plz nahitaji ushauri nipo serious
  6. A

    Tanapa

    Jamani nisaidieni, nasikia kuna kazi zimetangazwa na tanapa, lakini mi nimetafuta cjaona, nisaidieni kama ni kweli niapply..
Back
Top Bottom