Habari zenu wana Jamii,
Hivi karibuni nimepata wazo la kuanzisha biashara ya chakula ila nina shida ya mwalimu wa mapishi, sana sanaa ni utengenezaji wa SALAD za aina mbalimbali,naomba msaada sana jamani. Kama unamjua mtu au wewe mwenyewe unaweza kunisaidia nitashukuru sana!
Nawasilisha...
habari zenu, naomba msaada wa chumba cha kupanga,self contained, chumba na sebule,kiwe na tiles au sakafu nzuri. bajeti yangu ni 100,000 nina kodi ya miezi 3..
mwenye taarifa ya dalali mzuri pia nitashukuru
Habari zenu jamani,
Naomba msaada natafuta chumba self contained mitaa ya kipawa,jeti,mombasa,banana. njia ya kwenda gongolamboto Dar es salaam.
tafadhali naomba msaada
Asante
Habari zenu ndugu zangu!!!
Jamani ninashida ya ujuzi wakutengeneza fruit salads, kama kuna mtu anaweza nipatia link au recipes nitashukuru sana. nahitaji kujua aina nyingi nyingi ya fruit salad, ili nitengeneze nyumbani.
Asante sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.