Recent content by Ashura9

  1. Ashura9

    Ni biashara gani naweza kuifanya kwa Mtaji wa million 25

    Tupe mrejesho uliamua kufanya biashara ipi watu wajifunze
  2. Ashura9

    Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

    Maoni yangu: Milioni 9 kwa Raisi na milioni 40 kwa mkurugenzi wa mashirika ya serikali! Hiiinapatikana Tanzania tu.
  3. Ashura9

    Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania

    Wamarekani wamekosea na wanajua wamekosea na watajitajidi kujirekebisha; kama walitaka kutoa msaada watatoa kama hawataki basi, lakini hakuna haja ya kupoteza muda kulilia nyumba ya tajiri eti akupe ulala upenuni, kazana tafuta ya kwako; badala ya kukesha kutafuta mchawi Watz fanyeni kazi na...
  4. Ashura9

    TUHUMA ZA RUSHWA BUNGENI: Wabunge Kangi Lugola, Victor Mwambalaswa na Sadiq Murad waburuzwa mahakamani

    ni aibu kwa kweli watu hawaridhiki, binadamu ni nyoka, mahela yote wanaolipwa wabunge wanadai rushwa ya nini tena jamani!!!
  5. Ashura9

    Biashara ya Ununuzi wa Dhahabu

    Ni vizuri ukawa na uzoefu mkubwa kabla ya kuingia huko, lazima utapigwa sana kabla ya kufanikiwa. Katika biashara hiyo wapigaji ni wengi mno kupita wauzaji au tuseme wafanyabiashara; wapigaji ni professional na wala huwezi wagundua mpaga wamekumaliza, lakini ukisha isoma sekta nzima na kuielewa...
  6. Ashura9

    TAHADHARI: Mboga za majani wanazokula wakazi wa Dar ni sumu tupu

    Ni janga na jipu pia - hapa kuna fursa kubwa tu ya vijana, ila wapatiwe uwezo yatengwe maeneo salama na serikali iweke miundombinu ya umwagiliaji wa maji safi halafu ikodishe bustani hizo kwa vijana ambao wamejaa mjini hawana ajira. Wanasiasa lichukueni hilo; hiyo miundombinu mbadala ikiwekwa...
  7. Ashura9

    Wanawake wa DARISALAMA hii hamuiwezi

    aaah chamtoto!!
  8. Ashura9

    Rais Magufuli: Uhakiki mdogo umeshabaini watumishi hewa 1,680 Serikalini!

    ha ha ha ha umenichekesha kweli, vumilia tutafika tu lakini inauma kwelikweli dah!
  9. Ashura9

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    uko sawa kabisa ndugu yangu
  10. Ashura9

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    wewe naona hauko Tz sijui uko wapi nafikiri ungekuwa hapa usingeandia hayo unayoandika, Mh JPM achukue ushauri kwa Kikwete???? are you serious Indian????? Hebu kaa chini kwanza tafakuri na jiulize unaemzungumzia ni JPM au someone else......
  11. Ashura9

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    si walipigwa na wamarekani hao hao
  12. Ashura9

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    sasa huwezi kumlinganisha kikwete na mh JPM; hilo ni wazi; JPM ni mkombozi wa Tanzania wakati wengine walifunika kombe na kufumbia macho uozo wote unaoibuliwa na JPM, so point yako iweke vizuri ueleweke; Kuna msemo mmoja tu ndio nilijifunza toka kwa mzee wa smile "akili za mbayuwayu changanya...
  13. Ashura9

    Tanzania yasikitika kunyimwa pesa za Marekani

    Tanzania yasikitika kunyimwa pesa za Marekani BBC Swahili
Back
Top Bottom