Recent content by asenga wa ukaya

  1. A

    Shaka Hamdu Shaka ni naibu katibu mkuu makini wa UVCCM Zanzibar anaemnyima usingizi maalimu Seif

    Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM ) umeundwa katika muundo ufuatao; Unamwenyekiti wake wa taifa ambae ni Sadifa Juma Hamisi anaewakilisha jumuiya hii kwenye kamati kuu Inamakam mwenyekiti ambae ni Bi Mboni Mhita anae iwakilisha jumuiya kwenye halmashauri kuu ya chama(NEC) Inakatibu mkuu...
  2. A

    Shaka afukuzwa kwenye kikao cha CCM na rais Shein

    muendesha forum hii ni bora ukaiondoa hii post kwani uzushi mtupu ni uongo na uzandiki huyo alietajwa kumteteta shaka yupo india kwa matibabu karibu wiki ya tatu sasa,,,shaka ni kijana makini sana zanzibar CUF wanakosa usingizi zanzibar kwa sababu yake sasa wanamtafutia fitina na wala shaka si...
  3. A

    Msuya atueleze aliko Sokoine

    Kibanda ambae yupo kamati ya ufundi ya magazeti wa mvi kwenda ikulu yule aliekuwa tz daima ama kibanda yupi? yupo kazini hana lolote
  4. A

    Vijana elfu tano waendelea na matembezi kuenzi miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar

    matembezi ya leo hapa zanzibar yanaimba wimbo mpya,nini maana ya wimbo huu? TUNAIPENDA SANAA TANZANIAAA YETUUUUU kiitikio; sawa sawaaaaa MILIMA MIZURI,MABONDE NA MITOOOOO sawa sawaaaaa WALE WADACHI NA WAINGEREZAAAAAAAA saa sawaaaaa WALIIGOMBEAA TANZANIA YETU sawa sawaaaaaaa...
  5. A

    Msuya atueleze aliko Sokoine

    mzee wako alichukiwa na kinana kwa rushwa zake akamuanzishia skendo ya tembo,,sasa naona baada ya mzee msuya kuusema ukweli mmemuanzishia ya sokoine,,, eti dawa kuwafunga watu midomo wasimguse mzee ambae ni mgonjwa,,,,kazi mnayo kuuza nyanya mbovu itakaaa kwenye friji hadi lini?? nasikia ata...
  6. A

    Vijana elfu tano waendelea na matembezi kuenzi miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar

    mbona wale walitembea toka geita walifka hadi dsm?, vijana wa zanzibar wamejitolea na hawaendi ikulu,wao wanalinda mapinduzi si siasa
  7. A

    Vijana elfu tano waendelea na matembezi kuenzi miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar

    unguja ni wiki moja,pemba walishamaliza,kila kijana anasema kajitolea
  8. A

    Vijana elfu tano waendelea na matembezi kuenzi miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar

    nimekutana na umati mkubwa wa vijana walioniambia " wanatembea zanzibari nzima,wameanza matembezi jana hadi jan 10/2015 wakivalia tisheti zenye ujumbe "katiba pendekezwa imeyapa hesima Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,Tutayalinda " ZANZIBAR YA ZIZIMA KWA NYIMBO ZA MAPAMBANO YA KIMAPINDUZI...
  9. A

    Majibu kwa Nape, Ridhiwan Kikwete na wengine kuhusu elimu yangu na niliposoma

    Kwa hiyo haujamaliza shule?@mnyika na ccm isipotoka madarakani utabaki kilaza?
  10. A

    vijana wa chadema wachoka kutembea, wakutwa wakishuka kwenye basi mizani ya nala Dodoma

    hii ni kazi sana wakati tupo kwenye basi baada ya kupita mizani ya Nala karibu ya kuingia Dodoma mara naona vijana hawa wanashuka na kuanza kutembea huku wakipeperusha bendera,nilipouliza nikaambiwa kuwa ndio hao waliosemekana kutembea kwa mguu toka Mwanza hadi Dar es salaam ambapo watapokelewa...
  11. A

    Sixtus Mapunda atinga Kahama leo kudeal na UKAWA

    Katibu mkuu wa umoja wa vijana wa CCM ameingia kahama akiendelea ziara yake ya kila wilaya kuimarisha jumuiya na kuhakikisha kuwa Watanzana hawapotoshwI na taarfa za uongo baada ya UKAWA KUCHOMA MOTO masanduku ya kura kahama baada ya ukawa kuonekana wanashindwa mitaa mitatu kuchoma moto kura na...
  12. A

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    ccm inaongoza mikoa 25 hadi sasa,,cool soon mtaelewa
  13. A

    VIDEO: M/Kiti wa BAVICHA Wilaya ya Urambo ajisalimisha kwa Sixtus Mapunda...

    http://youtu.be/OmEm7_fT4EI - Aviponda vyama vya upinzani
Back
Top Bottom