Mimi ninamiaka 35 nakaa kwa mjomba wangu , sifanyi kazi na sihitaji kazi , mwanzo kabla la hili gonjwa hatari msosi ulikuwa unapikwa mwingi na nilikuwa nashiba.
Lakini gafla bini vuu hali imebadilika msosi umepunzwa kutoka kilo hadi nusu , hali hii inanipelekea mm kutoshiba na nashindwa...
Mimi ni mhitimu wa chuo natafuta sehemu ya kujitolea ili nipate uzoefu wa kazi katika makampuni ya ujenzi ,research organization, na nyinginezo, ni mtaalamu wa GIS, SPSS, AUTOCAD , ODK, Microsoft office na nyinginezo.
Lengo kubwa ni kupata uzoefu wa kazi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.