Recent content by asanje

  1. A

    JamiiForums Tanzania Laini ya m pesa inahitajika

    mi ninayo 0789123461
  2. A

    JamiiForums Tanzania Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

    natafuta thermostat na digital thermostat anaejua maduka yanayouza anijuze.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

    wanajamvi naomba anaejua maduka yanauza thermostat na digital thermometer,naomba na bei zake kabisa.nawasilisha
  4. A

    JamiiForums Tanzania Kwa wafugaji na wadau wa ufugaji wa kuku wa kienyeji Dodoma

    nitafute kwa 0789123461
  5. A

    JamiiForums Tanzania Kuku Chotara wanauzwa

    habar njema kwa wajasiliamali wenzangu,kwa mahitaji yako ya vifaranga chotara,mayai na kuku piga namba 0789 123461 utahudumiwa haraka,bidhaa zetu ni bora sn.
  6. A

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    km ww ni mwalimu idara ya sekondari hii inakuhusu km unatokea dodoma na unataka kuja huku Ngara we ni PM tuanze michakato.
  7. A

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Idara sekondari anayehitaji kuja Ngara kutokea Dodoma manispaa au Mpwapwa ani PM tuanze michakato.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Toa ushauri wako Jamaa akasomee nini ?

    ameshaajiriwa tayari na yupo huko mugumu-serengeti mkoani mara.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Toa ushauri wako Jamaa akasomee nini ?

    inategemea na mahali alipo ndugu sometimes mtu anaomba ushauri unaamua ushirikishe na wanajamvi ili kusaidiana mawazo.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Toa ushauri wako Jamaa akasomee nini ?

    Nina jamaa yangu amesoma degree ya kwanza BSC with education, lakini sasa anataka kusoma tena ,sasa amepata postgraduate diploma ya project planning and management na Masters of arts in education, anaomba ushauri akasome kozi ipi? na kwa nini?
  11. A

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    jamani watu wa ngara mbona vipi? hii inawahusu huku ndio kwenu,
  12. A

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    kama kuna mwalimu aliye tayari tubadilishane vituo vya kazi yeye ale Ngara na mm niende Dodoma manispaa au wilaya ya chamwino.
  13. A

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi ni mwalimu wa sekondari katika wilaya ya Ngara natafuta mtu wakubadilishana nae kituo cha kazi ili niweze kurudi Dodoma,kama kuna mwalimu yeyote anahitaji tubadilishane nae ni PM ili tupeane mawasiliano,jamani km ht ww ni mtu wa karagwe,biharamulo,kyerwa,misenyi hata bukomba unaweza...
  14. A

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Vp dodoma upo shule gani?
  15. A

    JamiiForums Tanzania Aliye tayari tubadilishane vituo vya kufundishia

    Mi nipo Ngara mjini nafundisha sekondari ya KIBIMBA siyo mbali sana na mjini kwani walimu wote tunakaa mjini,Kama utatamani kurudi home,ni pm tupeane mawasiliano vizuri.
Back
Top Bottom