Recent content by asanchar

  1. A

    Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

    Ukiwa na Tor au firefox kawaida kuna site unaitwa hidden wiki hiyo ni kama wikipedia ya dark web ambako utapata link ya site mbalimbali
  2. A

    Wapi zilipo ofisi za kampuni ya MOTA ENGIL iliyopewa kazi ya kujenga reli ya standard geji nchini?

    Ni mbili tofauti kuna hr@mota-engil.co.tz na rh@mota-engil.co.tz note before @ kuna hr and rh
  3. A

    Looking for electronics and telecommunications internship

    Pole aisee!!! mimi mwnyewe natafuta!!!! Kama hutojali tuwe tunachekiana walau kubadilishana mawili matatu!!!(PM)
  4. A

    Laptop hp compaq inauzwa

    HP Compaq Intel Celeron RAM 4GB HDD 1TB Very good condition Price: 500k (Tshs) Contacts: 0718975078
  5. A

    Sanaa ya kutengeneza computer

    Pc yangu ina shida kwenye motherboard!!! Nikiiwasha button inawaka kama sekunde 10 hivi halafu inazima!!! ni hp 650.Tatizo linaweza kuwa nini hapo?!!
  6. A

    Nataka nijifunze Adobe Aftereffect na Photoshop CS6

    Kwa After effect wacheki hawa jamaa wana tutorials kali kinyama wanaitwa Tara Arts sasa wacheki youtube kwa Tara arts Movie
Back
Top Bottom