Kwani Wahindi wa Rites walivyopewa mkataba wa kuendesha TRC si tuliaminishwa kuwa Shirika lingeimarika?
Matokeo yake hawakuwekeza cho chote hadi wakatimuliwa!
Utadhani mabasi ni kama "Disposable item" ambayo unatumia kwa muda mfupi kisha kutupa!
Wafanyabiashara binafsi wanatumia mabasi kwa miaka 20; hata zaidi. Na bado yapo kwenye hali nzuri.
Dhuluma na uminywaji wa haki vikizidi haviwezi kuleta machafuko?!
Viongozi wa dini wanasisitiza awesome wa Haki ambayo itatuhakikishia Amani ya kweli. Tatizo ni lipi?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.