Recent content by Asamwa

  1. A

    Msemaji Mkuu wa Serikali: Wachina wataiendesha reli ya TAZARA kwa miaka 30 ili kupunguza mzigo kwa serikali

    Kwani Wahindi wa Rites walivyopewa mkataba wa kuendesha TRC si tuliaminishwa kuwa Shirika lingeimarika? Matokeo yake hawakuwekeza cho chote hadi wakatimuliwa!
  2. A

    Ni vema Askofu Ruwai'chi akatubu kwa kumuita lofa mtu aliyemshitaki Padri Kitima kwa Papa

    Lugha ya wahuni ambayo maana yake nini? Ni matusi?!
  3. A

    Ni vema Askofu Ruwai'chi akatubu kwa kumuita lofa mtu aliyemshitaki Padri Kitima kwa Papa

    Kwa uelewa wako maana ya neno "lofa" ni nini?
  4. A

    UN waikanusha serikali, wasema waziri wa Tz kuonana nao si kwamba wanabariki mauaji yaliyofanyika.

    Hatujawahi kuwa na Waziri wa Mambo ya nje wa hovyo kama huyu!
  5. A

    PostGE2025 Msigwa: Vyombo vya nje vifuate taratibu za uandishi, walichofanya CNN, Al Jazeera na wengine sio sawa, ni ukiukwaji wa makusudi

    Nakumbuka BBC walimhoji kamanda Muliro. Aljazeera pia walimhoji Waziri wa mambo ya nje. Msigwa alitaka wafanye nini zaidi?
  6. A

    Treni ya SGR yapata ajali. Serikali ya Samia iko kimya, yazuia vyombo vya habari kuripoti

    Nadhani hata competence ya drivers inatia mashak! Sina hakika kama kuna utaratibu mzuri wa ku-train locomotive drivers kama ilivyokuwa siku za nyuma.
  7. A

    Treni ya SGR yapata ajali. Serikali ya Samia iko kimya, yazuia vyombo vya habari kuripoti

    Nadhani Shinkansen ya Japan inaenda zaidi ya 350 Kph kwa sasa.
  8. A

    Mabingwa wa Kuharibu: Toka Mabasi 140 hadi 30

    Utadhani mabasi ni kama "Disposable item" ambayo unatumia kwa muda mfupi kisha kutupa! Wafanyabiashara binafsi wanatumia mabasi kwa miaka 20; hata zaidi. Na bado yapo kwenye hali nzuri.
  9. A

    Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

    Na fimbo ya mbali haiuwi nyoka....!
  10. A

    GE2025 Rais Samia Suluhu: CCM kugharamia kwa asilimia 100 matibabu ya watu wasiokuwa na uwezo

    Watatumia utaratibu gani kuainisha hao watu wasio na uwezo?!
  11. A

    Kinachofanywa na maaskofu na watumishi wa Mungu sio siasa

    Dhuluma na uminywaji wa haki vikizidi haviwezi kuleta machafuko?! Viongozi wa dini wanasisitiza awesome wa Haki ambayo itatuhakikishia Amani ya kweli. Tatizo ni lipi?!
  12. A

    Kitaalam, alichomaanisha Polepole ni hiki

    Hahaha. Hatari sana kugusa kwenye G-spot...!
  13. A

    CCM bado ni chama cha kijamaa?

    Unadhani tajiri atakupa tu bilioni kadhaa bure bila kujua jinsi ya kuzirudisha?! Hakuna pesa ya bure duniani humu!
Back
Top Bottom