Dr mimi ni mwanamke wa miaka 39 nimetolewa kizazi mwaka juzi na sina tatizo ila swali langu ni; sehemu ya juu ya mdomo chini ya pua kumetokea rangi nyeusi mfano wa ndevu za kiume au mustache. sasa swali langu ni je hii alama inaashiria tatizo gani ndani ya mwili? na je dawa yake ni nini?
Wakuu, natamani na tayari nimepata mtaji wa kusafirisha samaki toka Mwanza kwenda Arusha ila nahitaji msaada wa jinsi ya kuanza na masoko ya huko Arusha, tafadhali naombeni msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.