VIFARANGA VYA SATO VINAPATIKANA
Mixed sex(jinsia tofauti/wanaozaliana) kwa 200Tsh
Mono sex(jinsia moja/wasio zaliana) kwa 250Tsh
Location:kigamboni
Contact:0714420808/0789290156
Elimu juu ya ufugaji samaki/miradi ya samaki
~aina ya samaki wanaofugwa hapa nchini(maji baridi/maji chumvi)
~Ufugaji wa kisasa/kibiashara
~umuhimu wa samaki katika jamii zetu,,
~Hatua za mwanzo kabla ya kuanza ufugaji
~mambo yakuzingatia wakati wa ufugaji
~uvunaji
~masoko
Aina za mabwawa
~mambo...
Bwawa likiwa limewekwa wavu kwa juu
Ili kuzuia ndege
Ili kuzuia uchafu(majani,miti)
Ili kupunguza wadudu(wakubwa)n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa bwawa la sqm 100(Lina weza kukaa Sato 1000)wasiozaliana
Kwa ujenzi wa kutumia tofali
Lina gharimu 3.5mil
Kwa ujenzi wa kuchimba na kuweka nylon linagharimu 2.7mil
Kwa kuchimba tu(kwa sehem za udongo mfinyanzi) 1.3mil
Bwawa la kawaida au ufugaji wa kawaida wapo wanaoanza na kufuga samaki 1000 iwe Sato au kambale,,je unaitaji kujua gharama kwa ufugaji wa samaki idadi iyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.