Mzungu kupitia colonial legacy alihakikisha mwafrika hawi kufikiria chochote kile anachofikiri anakutana na strong criticism kutoka kwa ndugu zake alafu mzungu anakuja kumalizia kazi kirahisi
Leo hii mwafrika mwenye PhD au professor furaha yake ni kuona research/article yake imekuwa publish...
Haya ndo mambo ambayo yananishangaza kuhusu Dennis Roberts
Jamaa ametangaza nia ya kutaka urais ilihali ana miaka 33 ni jambo la kuchekesha ila la kufikirisha hasa ukimsikiliza anachoongea labda yuko kwenye maandalizi ya miaka ya mbeleni ila very very weird kwa jina wa kitanzania na kiafrika...
Tajiri dewj usione aibu kutuomba tuongezee tulichonacho ili timu isajili vizuri tuko tayari kuichangia timu
Hizo kelele na kebehi za mashabiki wa Yanga usizingatie sisi tuko tayari kuichangia timu yetu kipenzi simba ili isonge mbele zaidi ya ilipo sasa
Tuko tayari kuipigania timu yetu simba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.