Ww una akili ndogo tu Mama wala hana tatzo, kweny hyo asilimia 23.3% alisema n kwa wale wa kima cha chin wanaopokea kuanzia kias kama laki tatu hv na wala si kwa kila mtumish hasa wale weny mishahara mikubwa, acha kukurupuka na kama uliwaahid watu utanunua gari ushakwama.Tumia akili kufikir...
Huna uzalendo wowote bali tamaa tu znakusumbua,mtu kama ww upewe nchi utawapa had shemej zako uwazir, unafikir nch inaendeshwa kama familia?Hata ww n fisad tu asiye na cheo.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Usitafute kilema cha makusud 2025 kaa na familia yako utulie hutaweza kupambana na jesh lenye hamu ya kuvunja miguu ya watu vburi,watanzania weng n wanafiki utabak peke yako kweny maumivu.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Anakuja huyohuyo usiyempenda na hutafany lolote mna mdomo mwing kuliko vitendo,ukijitia kburi utaumia peke yako.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ww cha kufanya kusanya genge lako unaloliamin halishndw kitu muandamane mpaka ikulu mkamtoe vngnevyo kaa kmya tu huna msaada.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kwa kuwa familia yako hakuna Watumishi ndio unaongea pointless,samia mi5 tena,kaz ziendelee,hutak hama nchi.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.