Mkuu nimesema "nitafurahi ".... Namaanisha siku ikiweza kuwa chaguo namba moja kwa watanzania na walio nje ya Tanzania nitafurahi... Naamini utafurahi pia
Sifurahii mashirika mengine kufa, lakini natapata furaha sana kuona shirika la ndege Tanzania linakuwa chaguo namba moja kwa watanzania na wasio watanzania...
Mkuu Mayalla hoja yako ni nzito sana. Japo nimesoma kwa kuchelewa huu uzi, nimenufaika sana kwa mchango wako huu. Naamini vyombo husika pia vimeelewa na vina kila sababu ya kuzingatia mashauri yote haya..
Umenifurahisha sana katika lako la binafsi.. Wazee wanaweza kwenda na kurudi hata pasipo...
Hahahaha... Kwa hiyo unajiamini kwa Kuwa Kenyatta kasema???? Tunakoseaga sana na muda mwingi tunaishia kuhaha katika mipango mingi isiyo ya kudumu kwa kuiga nchi nyingine zinavyojikwamua kiuchumi. Mazingira ya nchi na nchi hayafanani mkuu..., Tanzania tunahitaji strategies zetu zinazotufaa sisi...
Najiuliza bado, Kulikuwa na ulazima gani wa Mh. Raisi kuongelea hizi habari za kufyatua watoto? (n.b. watoto hawafyatuliwi, kama raisi anapaswa awe na kauli za kistaha kwa viumbe wanadamu).
Ni vizuri éndapo raisi atazingatia mambo muhimu ya kuwafikishia wananchi wake, hasa yale yaliyopo kwenye...
Mkuu asante kwa taarifa. Kwanza Napenda kumpongeza Mh. Raisi kwa uzalendo, kwa nia yake njema ya kupigania rasimali za taifa letu.
Pili naomba kufahamu éndapo wafahamu madeni yote wanayotudai Acacia, tofauti na makinikia na VAT refund kama ulivyoainisha katika bandiko lako. Hofu yangu ni kuwa...
Jaimee unaamini njia zinazotumika na vyama pinzani zinaweza wapatia haki zao katika chaguzi zijazo ? Kwa kuzingatia matukio ya nyuma na njia chadema walizotumia kudai haki zao, unadhani njia hizo ni sahihi ? Ikiwemo kususia chaguzi, kutoka katika vipindi vya bunge, kutohudhuria kuapishwa kwa...
Mkuu tabia hatuipimi kwa kauli au tendo moja. Mazoea ndiyo hujenga tabia. Tabia ya kususa kwa vyama pinzani haijaanza katika chaguzi hizi ndogo, ilokuwepo hata katika chaguzi kuu zilizopita. Hoja Hapa ni kutaka kujua éndapo njia hii ya kununa ina mashiko au ndo itakuwa kumsusia ngedere shamba la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.