Fala tu kumbe ww yaani umekula pesa had umechoka alafu unakuja kutafuta pesa humu za kuuza Odds utafikili ww ndo unacheza hizo mechi ??
haya kajambe mbele huko humu hakuna wa kununua odds
Sasa kama ww kocha unaona mchezaji afai kuanza na unafata maagizo ya kiongozi umchezeshe na ww kocha ukafanya hivyo,,,
Basi ufai kuwa kocha sababu aujiamini na maamuzi yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.