Kuna mzee mmoja nilionhea naye na aliniambia kitu kizuri sana.
Alisema, Unajua hivi vyama vya siasa, vinapewa ushindi na watu wasiokuwa na vyama. Mfano, wale ambao wao sio either CHADEMA au CCM, wao ndio huvipa ushindi vyama hivi kwasababu, unlike wale wenye ushabiki wa vyama, hawa husikiliza...