Arnomos
Member
- Jun 5, 2015
- 30
- 25
- Thread starter
- #21
Am desperate kuja kuona siku Tanzania itafanya kitu sahihi na kizuri mpaka tuje tufurahie na sisi, yaani we are so good at kukosea.Niliongelea hili kua tatizo internet kwetu ni anasa wakati hukombele ukianza na Asia hii kitu ni kama nyenzo muhimu ya kupanda kuelekea maendeleo hivyo wao wameifanya kua very cheap na inavyoendea huko mbele itakuja kua free service kabisaa!Mfano mzuri Nchini Malaysia tuliopata Uhuru nao Kipindi kimoja