Recent content by Arno bano

  1. A

    Hatimaye jeshi la polisi watoa majina ya graduates na ufundi stadi walioitwa kufanyiwa usaili

    Wana jf ktambo jeshi la polisi wametoa list ya graduates na ufundi stad walioitwa kufanyiwa usaili ingia website ya polisi ucheki jina lako source ni www.policeforce.go.tz
  2. A

    haya wale graduate ,police washaanza kuita

    Em kuwa sirias watatumiwaje email wakati wanachotakiwa kufanya ni kupost list nzima ya majina ya watu waliochaguliwa maana si watu wote wana acces ya net bwana plz ndugu be seriou acha kututia presha
  3. A

    Police wanaita graduates

    Mamb vp wana jamii forum jaman tunachoomba mwenye info zozote atujulishe maana hawa jamaa website yao haipatikan na wala hakuna info zozote kuhusiana na hii mishe plz mpenda maendeleo yeyote mwenye info na plz atujuze tunakuomben utujuze
  4. A

    Hali halis ya depo la jwtz

    Swala sio kuwa mwanaume au mwanamke swala ni kupata pre information ambazo zitatusaidia sisi kuweza kuhandle program za depo emu achen mambo ya ajab sio necessar saana kuchangia kama huna point ya msingi ya kuchangia it beta ubaki kimyaa
  5. A

    Hali halis ya depo la jwtz

    Jaman eeh imefika wakati watanzania tuache uzumbukuku na upumbavu usio na kichwa wala mkia yani kuwaelezea watanzania wenzako jinsi jeshi linavyo waandaa wanajeshi wa tanzania mtu unasema ni siri za serikali? Mbona world faza aka USA mpaka mafunzo ya ufield marshal anayaweka mtandaoni ili vilaza...
  6. A

    Hali halis ya depo la jwtz

    Jaman eeh imefika wakati watanzania tuache uzumbukuku na upumbave usio na kichwa wala mkia yani kuwaelezea watanzania wenzako jinsi jeshi linavyo waandaa wanajeshi wa tanzania mtu unasema ni siri za serikali? Mbona world faza aka USA mpaka mafunzo ya ufield marshal anayaweka mtandaoni ili vilaza...
  7. A

    Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

    Ina maana tanzania haikupoteza askari maana unaongelea tu uganda ndo askari wao walikufa na pia naskia wanajesh wetu wengi walikamatwa mateka vp walirudishwa!?
  8. A

    Hali halis ya depo la jwtz

    Kwa yeyote mwenye uzoefu jeshin au mwenye taarifa za depo la jwtz linakuwaje tunaomba atujuze ili tuweze kujiandaa mapema tusije tukashindwa huko maporini tutakako pelekwa plz kumsaidia mtu ni jambo jema pia kwa kutupa taarifa ni msaada vile vile
  9. A

    Jkt wa kujitolea wameita

    Nashkuru wakuu kwa mchango wenu tafazal tupeane taarifa afu vp pia polisi mbona website yao haipatkani kuna nin?
  10. A

    Jkt wa kujitolea wameita

    Leo katk pita pita zang nilikutana na mjeda flani began alikuwa kma na vinyota viwili nkajaribu kumuulizia kuhusu post za jkt alichosema ni kwamba jkt wako katka hatua za mwisho za maandaliz ya kuandaa makambi pamoja na vitu muhimu kwa ajili ya kurecruit krut wapya na pia eti walikuwa wanasubiri...
  11. A

    Post za jkt kwa vijana wa kujitolea

    Hivi jamani naombeni kuuliza ivi izi nafasi za jkt kwa sisi tulio tayari kujitolea kwa taifa letu zinatoka lini maana tumesubiri sana tangia mwezi wa saba mpaka huu ni wa kumi plz kwa yeyote mwenye valid information na atujuze nitashkuru sana kwa wote mtakao kuwa na mchango pia ata kwako we2...
  12. A

    jaman post za jwtz na jkt tayari

    jama kwa mwenye information zozote juu ya post za jkt na jw naomba anijuze plz coz weng wenu mlisema mwezi wa tisa ndo kitu kitakua hwewan kiukweli tunasubiri kwa hamu kubwa hii nafasi coz ndo mkombozi wetu aliyebakia nauliza ili nsije kuta wenzangu washaondoka nami nkabaki najilaum plz kama...
  13. A

    Nafasi za kujiunga na JWTZ

    plz wana wa mkeka huu kwa yeyote mwenye taarifa kuhsu lini hawa jamaa wanatoa hizi post zo naomba anijuze kwani hiz ni siku za mwisho mwisho so usipo uliza yawezekana nafasi zikaoka kmya kmya uf mtu unakuja skia kuwa wiki moja iliyopita wenzio walifanyiwa usaili na wa washapewa na namba tayari...
  14. A

    Nafasi za kujiunga na JWTZ

    jamani hizi ni siku za mwisho mwisho majeshi yote karibia yanatoa nafasi zake so tafazali waungwana kwa kila mwenye taaifa kamili kuhusiana na lini nafasi hzi zinztoka ninaomba tupeane taarifa ndugu zangu kwa sabsabu tun atofautianabkatika uwezo wa kupata taarifa kwa wakati naomba wale wenye...
Back
Top Bottom