Mama yangu ni mzanzibari baada ya kuiona hii post nikamuonyesha akasema " madaktari wa kizanzibari si madaktari, hamna lolote" 😁😁😁 na akaonelea aje kufanya matibabu ya kulipia huku Tanzania Bara.
Tangu nikiwa mtoto wa daasa la tano nimekuwa nikisikia uwepo wa shule za vipaji maalumu yaani kwa wanafunzi wanaodhaniwa kuwa na upeo mkubwa wa akili, binafsi Mungu alinijaalia kusoma mojaya shule hizo mkoani Morogoro{Mzumbe} na kidato cha tano na sita (kibaha sec) , na kwa sasa nipo chuo...
Ufinyu wa akili na udumavu wa fikra yakinifu bado ni tatizo kubwa kwa wanasiasa baadhi ya mashabiki zao wapuuzi kama huyu, kashapewa t-shirt akili imebaki sifuri afu ni mwanaume kiongozi wa familia😂😂
Hivi karibuni katika kuanza kwa mchakato wa udahili wa wanafunzi wa shahada mbalimbali katika Chuo kikuu cha sokoine( SUA) kumekuwa na mabadiliko kidogo ya uondoaji na uunganishwaji wabaadhi ya programu za shahada mbalimbali kama ifuatavyo
1. Shahada ya sayansi ya usimamizi wa malisho yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.