Recent content by Arash charlz

  1. A

    Swali kuhusu ajira za Jeshi la Magereza

    Vipi mkuu, washatoa nafasi?
  2. A

    Natamani nirudi shule, naombeni ushauri wenu

    asante mkuu!, nikachukue kozi gani nzuri katika vyuo hivyo!
  3. A

    Natamani nirudi shule, naombeni ushauri wenu

    Wakuu, mie nimehitimu elimu ya sekondari mwaka 2013 na kupata daraja la nne point 32. Mpaka sasa sielewi nikasomee taaluma gani! Nimeomba ualimu nimekosa, na ndio lililokuwa tegemeo langu kubwa. Mpaka sasa nipo mtaani na sina mwelekeo wowote wa kusoma hadi natamani nirudie shule form4 resit...
  4. A

    Naweza kupata chuo gani sasa hivi hata kama ni cha private?

    wanapokea kama kawaida! Mbona ualimu ngazi ya cheti haujafutwa
  5. A

    Vigezo vya kujiunga na jeshi la polisi

    Taratibu za ku apply zikoje wakuu
  6. A

    Mliosema post za ualimu hazitoki tena mbona siwasikii?

    Mbona sielewi wadau, hayo majina hadi waliopata 4 watachaguliwa kusomea cheti?
Back
Top Bottom