Vigezo vya kujiunga na jeshi la polisi

Vigezo vya kujiunga na jeshi la polisi

Haaa nenda ultimate security OPERATION MANAGER........ Ukapige mawe....lol! Soma nyakati
 
Wadau...wengi wanaumia masharti ya mwaka wa kumaliza (2013/14 tu), urefu/ufupi na miaka (18-25 tu). Niwatoe wasiwasi...kama unadhamira ya dhati na professional yko inahitajika (kama tulivoainisha) apply. Hata kama nimfupi lakn unaskills utachukuliwa, kama unavigezo vyote kasoro umri...but not above 30 njoo, na kama umemaliza last year but unavigezo vyote njoo. Nasema haya si kwa kubahatisha, yametokea interview zote znazohusisha graduates...karibuni!
 
Amin amin nakuambieni...kama ww mfupi ila una profession nzuri ambayo ni productive kwa jeshi..njoo. Kuna kazi zaidi ya tigo (rider),ffu,trafic,parade,points. Polisi nizaidi ya hayo. Kama huamini angalia profession walizoainisha ili watu waombe.
TAHADHARI: Kama upo serious usimsikilize wakulia au kushoto,anabeza hapa lakini haki ya Mungu utakutana nae kwny foleni ya interview!.

Sir Lugoje samahan kwa usumbufu naomba kuuliza mtu wa psychology akijiunga na PT anakua na majukumu gani na sector gani katika force maana unajua PT proffesionals hawaeleweki specifically wako katika sector gani kuna uwezekano wakawekwa kitengo cha CID kutokana na nature ya utaalamu walionao??
 
Wadau...wengi wanaumia masharti ya mwaka wa kumaliza (2013/14 tu), urefu/ufupi na miaka (18-25 tu). Niwatoe wasiwasi...kama unadhamira ya dhati na professional yko inahitajika (kama tulivoainisha) apply. Hata kama nimfupi lakn unaskills utachukuliwa, kama unavigezo vyote kasoro umri...but not above 30 njoo, na kama umemaliza last year but unavigezo vyote njoo. Nasema haya si kwa kubahatisha, yametokea interview zote znazohusisha graduates...karibuni!

HV UREFU UNATIJA GANI KWA POLISI? HAMUONI HUO NI UNYANYAPAAJI?KWANI MTU ALIOMBA AUMBWE KUWA MFUPI? PIA SUALA LA KUHITIMU 2013/2014 NALO NI UHUNI TU,MTU ALIMARIZA MASOMO LABDA 2010 HAJAPATA HADI LEO SABABU HANA MTU ANAEMJUA (REJEA SAKATA LA UHAMIAJI) LEO UNAMWAMBIA HASTAHILI KUOMBA KWA KIGEZO CHA KIPUUZI KABISA ET HAJAHIMU 2013/2014, Huyu Aliyeweka Vigezo Hvy Huenda Akawa Anautindio Wa Ubongo,
 
Tunaenda Darfur,Central Africa, Interpol, etc. Alafu wabongo mnaongoza kwa kubeza jeshi lenu wakati nchi zingine wanatuadmire. Njooni muombe muajiliwe tusaidieni kubadili muelekeo wajeshi hili badala ya kulalamika kwny mitandao. Ukihitimu utakuja utuambie rushwa unafindishwa na jeshi,ni slogan yetu au utashi wamtu mmoja mmoja kama ilivyo sekta zngne. KARIBU!

wewe kama askari hufai kabisa badala ya kufanya kazi unashinda mtandaoni
 
wewe kama askari hufai kabisa badala ya kufanya kazi unashinda mtandaoni[/QUOTE


Siyo kila mda yupo mtandaona anaingia kutujibu watu ambao tunashida ya kujua mambo baadhi baadhi ya Policeforce sasa unataka tupate habari wapi na unajuaje kama siyo IT wa Police huyu so mda wake mwingi ni kutumia mtandao kudeal na Cyber crimes
 
Back
Top Bottom