Recent content by Apparatuses

  1. Apparatuses

    UCHAMBUZI: La Casa De Papel (Money Heist) S04

    Season 2 final episode Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Apparatuses

    UCHAMBUZI: La Casa De Papel (Money Heist) S04

    Hivi BERLIN ali survive vipi na huku wajomba walikua wamemzingira? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Apparatuses

    Ni uongo gani Ex wako alishawahi kukudanganya?

    [emoji1][emoji1][emoji1] Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Apparatuses

    Kwa Wapenzi wa Filamu za Kihindi (Bollywood Films)

    Ghajin, Bajrang bhaijan, Murder 3, Baahubali, Secrete superstar, Dhoom 3, Race, Like stars on the earth, Tiger zinda hai, Ek tha tiger, Kal ho na hoo, Ittefaq, Aashiq. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Apparatuses

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Namwona wakala wa kanji Simba akitembea na hela yangu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Apparatuses

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Duh, acha niende hospital nikathibitishe mwenye nahisi kitu kama hicho ila ni moja ya ugonjwa ninao uogopa kila niskiapo mtu analalamika vidonda vya tumbo. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Apparatuses

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Hapana, sema kuna muda appetite ya kula nakosa ila najilazimisha kula ili tumbo litulie kwa muda. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Apparatuses

    Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

    [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Apparatuses

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Ni week sasa nasumbuliwa na tumbo, hapo awali nilidhani ni tumbo la kawaida kiukweli sina kawaida ya kwenda kupima, nilimeza Flagly sikupata nafuu, kwakuwa napenda kula kachumbari nikasema yawezekana typhoid kama kawaida nikatufata Ciproflaxin bado patupu, nikaona nitafute dawa za minyoo kwakuwa...
  10. Apparatuses

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Big up naona umelaza 350k profit. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Apparatuses

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapo R.lewandoski hayupo Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Apparatuses

    House4Rent Single room Moshono-Arusha

    Natafuta single room ambayo ipo standard maeneo ya Moshono~Arusha kisiwe mbali na barabara kuu na kisiwe uswahilini Kiwe na umeme na Maji Budget yangu Mwenye nacho Karibu Pm na picha. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Apparatuses

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tafadhari odds 3 tu wadau za magoal naombeni Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Apparatuses

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    guwe_la_manga chief msaada wako leo odds 2 au 3 hasa za magoal. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Apparatuses

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Shukrani mdau nilimfuata huyu Marseille naona game ipo half time ila kesha nipa pesa. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom