Katika viwanja vya polisi makambako leo mamia kwa maelfu ya wananchi wamejitokeza kwa wingi kumsikiliza mh. John mnyika, alieambatana na naibu katibu mkuu zanzbar ndg Salum mwalimu, viongozi wa mabalza kitaifa,kanda,mkoa,wilaya, jimbo,kata,tawi,mtaa/Msingi.akihutubia wananchi hao amelaani vikali...